mabui melafulu
Member
- Aug 17, 2018
- 73
- 83
Mashabiki wa simba na Yanga ni wapumbavu na wanaendeshwa kama matahira, usishangae mtoa mada ukamkuta mbele kupambania kuingia uwanjani siku hy.
Kanuni ndio kila kitu mkuu. Hakuna kipengele cha kutoa taarifa ya kwenda kufanya mazoezi bali mwenyeji anatakiwa aandae mazingira mgeni aweze kwenda kufanya mazoezi bila shida yoyote.Sio kila kitu lazima kanuni,
Vingine ni taratibu tu za kawaidaa.
Je mngeenda uwanjani mkavamiwa na hamkutoa taarifaa nani angelaumiwaa??
Na kanuni ya kuhairisha game isichezwe kutokana na izo sababu ipo kwenye kipengele gani mkuu?Kanuni ndio kila kitu mkuu. Hakuna kipengele cha kutoa taarifa ya kwenda kufanya mazoezi bali mwenyeji anatakiwa aandae mazingira mgeni aweze kwenda kufanya mazoezi bila shida yoyote.
Yaap.Vipi, unajisikia kichefuchefu ili nikuletee malimao na ndimu.
Sema wa thimba tafadhaliWashabiki wa Simba na yanga ni kama NYUMBU.
Kolo haoMambo ya kitoto mbona haya
Mimba changa inakusumbua binti, kiasi cha kuwashwawashwa ukiona tu michango yangu humu jukwaani.Yaap.
1. Malimao
2. Nivea Petroleum jelly
3. Uje umeuosha kabisa, ulifika ni kuchora saba, kazi yangu kudumbukiza tu.
Mlizoea kufanya upumbavu kwa kujua kwamba faini ni million 1 nazani hili litakua fundisho ata kwa vilabu vingine kwamba jambo dogo linaweza kuzaa makubwaKanuni zipo wazi. Kama kulikuwa na dosari yoyote kamati ya saa 72 ingekaa baada ya mchezo na adhabu stahikk zingechukuliwa (faini ya milioni 1 mpaka 5) Lakini hilo la kuahirisha mchezo, halipo kikanuni na Bodi sijui wametumia kanuno gani
Mara nne zamalek amegoma kupeleka team uwanjani kucheza na ahly Kwa sababu wanataka refa kutoka Spain na maisha yanaendelea na kanuni zinavunjwa tu,ndio team kubwa za Africa zilivyo ni kubwa kuliko mashirikisho yaoNimefuatilia sakata la derby ya Simba na Yanga Tanzania 08.03. 2025, itoshe kusema Bodi ya ligi mmehujumu ligi kuu ya mtanzania na mnapaswa kuwajibika, Simba na Yanga mnapaswa kuwajibika, mashabiki tumekwishawajibika.
Siku iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu kubwa na wapenzi wa soka Duniani imekuja kuharibiwa na watu wachache kwa maslahi yasiyofahamika ni ya nani.
Tunapoongelea ligi kuu ya Tanzania bara ni swala la kitaifa na kimataifa kuelewa hili inakupasa kujua ligi yetu ni ya 5 kwa ubora Afrika hivyo Ina washabiki kitaifa na kimataifa. Aibu ya Jana imetuweka katika sintofahamu kubwa sana katika ulimwengu wa soka na itatucost pakubwa sana kwasababu mpaka sasa hatujaisikia Bodi ya ligi wanafikiri kituambia nini juu ya hili.
Vyovyote vile kwa heshima ya nchi, kwa heshima ya Tanzania ambao ni mashabiki wa Simba na Yanga na kwa heshima ya soka Dunia haikupaswa mechi ya Jana kuhairishwa eti kwa sababu ya sababu zinazongelewa hikiusisha Simba kunyimwa nafasi ya kufanya mazoezi uwanjani siku moja kabla ya mechi.
Kama Simba walikuja uwanjani kufanya mazoezi kwanini walizuiliwa? kama kulikuwa Kuna sababu ya kuwazuia, aliyewazuia anareport kwanini? Maybe ametumwa ni hujuma. Na kama Simba alizuiwa kufanya mazoezi, kwanini alizuiwa kufanya mazoezi? alikosea wapi? kwanini alifanya makosa hayo? na kama mazoezi yalikuwa kipaumbele alireport kwanani Ili shida itiatuliwe mapema Ili kufanikisha lengo la ligi? hii ni hujuma.
Je kikanuni Kuna sababu yoyote inayoipa timu yoyote uhalali wa kukataa kucheza mechi kwa sababu ya kutokufanya mazoezi kwenye uwanja husika wa mechi tarajiwa siku moja kabla ya mechi?
Huo uwanja mmeutumia mara ngapi? mmefanya mazoezi na kucheza mechi ngapi kabla ya mechi ya Jana ikiwa kama maandalizi ya derby? Kama mlinyimwa kuingia uwanjani kwa kuwa maybe mlikuwa na mambo yenu, kwanini msingeenda kufanyia mazoezi kwenye uwanja WENU? utoto na ujinga wa kiwango kikubwa mmeonyesha, ni aibu kwa timu kama Simba kukwamisha mechi kubwa kama hii kwa sababu za kipuuzi kiwango hicho, someone has to pay the price.
Hii ni hujuma kwa ligi iliyopambaniwa kwa kiwango hichi hadi kuwa ya tano Africa kwa ubora. Haikupaswa chochote kinachofanana na kile cha Jana kutokea labda angekufa mchezaji lakini si kwa namna Ile, ni aibu na fedheha.
TFF mnafanya vipi kazi, hakuna intelligence ya chombo chenu katika kushughulikia njama za chini hili kutowezesha kukwama kwa matukio muhimu ya kitaifa kama haya?
Cha kushangaza uvumi wa chini kwa chini ulianza kusambaa mapema kabisa kwamba Kuna watu hawataleta timu uwanjani Ili washabiki waliendelea kuuziwa tickets, Bodi ya ligi ilishindwa hata kutoa ka press kadogo tu kusisitiza umuhimu wa mechi hii kwa nchi yetu nakuonya hujuma za kijinga kwa wale waliokuwa wanafikiria kufanya hivyo, tamko dogo kama hili tu lingeweza kuepusha ujinga na aibu iliyojitokeza Jana siku ya wanawake duniani.
Kama TFF, Bodi ya ligi na Simba Sport Club mliridhia mechi ya Jana isiwepo, kwanini mliendelea kuuza tickets, washabiki wenu tunawasapoti kwa Hali na mali mnatuletea dharau ya kiwango hichi? Mnahujumu mapenzi yetu kwenu, mnahujumu uchumi wetu mifukoni kwa ruhusu pesa zetu zipotee bila sababu za msingi.
TFF mmetufedehesha
Bodi ya ligi mmetufedhehesha
Simba Sport Club mmetufedhehesha.
Kiufupi kuanzia wakati huu tunahitaji kusikia nini haswa kilichotokea, na maelezo haya yanapaswa kutolewa na wahusika, kila mmoja kwa nafasi yake kuanzia captain wa timu mpaka mfungua geti aliyekataa kufungua geti.
Tunatakata kujua wahusika walioongoza mchakato mzima wa hujuma hizi kwanzia kiongozi wa msafara wa timu iliyokwenda uwanjani kufanya mazoezi usiku kabla ya mechi.
Tunataka kusikia hatua za kisheria na kinidhamu zinazochukuliwa na zilizochukuliwa dhidi ya wahusika mpaka wakati huu.
Tunataka kujua mchakato wa pesa zetu tulizolipa kama kiingilio kwenye mechi hewa tunazipataje.
Tunatakata kusikia maombi ya msamaha kutoka kwa wahusika wote kwenda kwa mashabiki wa timu za Simba na Yanga na wapenzi wa ligi kuu bara hapa Tanzania, Afrika na Dunia kote.
Na mwisho huu ujinga usijirudie tena, vinginevyo hatuwashabiki tena, tunawezasapoti timu mbili ndogo na zikapnda daraja, ni kitu gani kitushinde watanzania?
Umetumia kanuni gani? Au busara zako?Mlizoea kufanya upumbavu kwa kujua kwamba faini ni million 1 nazani hili litakua fundisho ata kwa vilabu vingine kwamba jambo dogo linaweza kuzaa makubwa
..M huwajui watakatisha matangazo ya mpira live kama walivyo zuia bunge liveNimefuatilia sakata la derby ya Simba na Yanga Tanzania 08.03. 2025, itoshe kusema Bodi ya ligi mmehujumu ligi kuu ya mtanzania na mnapaswa kuwajibika, Simba na Yanga mnapaswa kuwajibika, mashabiki tumekwishawajibika.
Siku iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu kubwa na wapenzi wa soka Duniani imekuja kuharibiwa na watu wachache kwa maslahi yasiyofahamika ni ya nani.
Tunapoongelea ligi kuu ya Tanzania bara ni swala la kitaifa na kimataifa kuelewa hili inakupasa kujua ligi yetu ni ya 5 kwa ubora Afrika hivyo Ina washabiki kitaifa na kimataifa. Aibu ya Jana imetuweka katika sintofahamu kubwa sana katika ulimwengu wa soka na itatucost pakubwa sana kwasababu mpaka sasa hatujaisikia Bodi ya ligi wanafikiri kituambia nini juu ya hili.
Vyovyote vile kwa heshima ya nchi, kwa heshima ya Tanzania ambao ni mashabiki wa Simba na Yanga na kwa heshima ya soka Dunia haikupaswa mechi ya Jana kuhairishwa eti kwa sababu ya sababu zinazongelewa hikiusisha Simba kunyimwa nafasi ya kufanya mazoezi uwanjani siku moja kabla ya mechi.
Kama Simba walikuja uwanjani kufanya mazoezi kwanini walizuiliwa? kama kulikuwa Kuna sababu ya kuwazuia, aliyewazuia anareport kwanini? Maybe ametumwa ni hujuma. Na kama Simba alizuiwa kufanya mazoezi, kwanini alizuiwa kufanya mazoezi? alikosea wapi? kwanini alifanya makosa hayo? na kama mazoezi yalikuwa kipaumbele alireport kwanani Ili shida itiatuliwe mapema Ili kufanikisha lengo la ligi? hii ni hujuma.
Je kikanuni Kuna sababu yoyote inayoipa timu yoyote uhalali wa kukataa kucheza mechi kwa sababu ya kutokufanya mazoezi kwenye uwanja husika wa mechi tarajiwa siku moja kabla ya mechi?
Huo uwanja mmeutumia mara ngapi? mmefanya mazoezi na kucheza mechi ngapi kabla ya mechi ya Jana ikiwa kama maandalizi ya derby? Kama mlinyimwa kuingia uwanjani kwa kuwa maybe mlikuwa na mambo yenu, kwanini msingeenda kufanyia mazoezi kwenye uwanja WENU? utoto na ujinga wa kiwango kikubwa mmeonyesha, ni aibu kwa timu kama Simba kukwamisha mechi kubwa kama hii kwa sababu za kipuuzi kiwango hicho, someone has to pay the price.
Hii ni hujuma kwa ligi iliyopambaniwa kwa kiwango hichi hadi kuwa ya tano Africa kwa ubora. Haikupaswa chochote kinachofanana na kile cha Jana kutokea labda angekufa mchezaji lakini si kwa namna Ile, ni aibu na fedheha.
TFF mnafanya vipi kazi, hakuna intelligence ya chombo chenu katika kushughulikia njama za chini hili kutowezesha kukwama kwa matukio muhimu ya kitaifa kama haya?
Cha kushangaza uvumi wa chini kwa chini ulianza kusambaa mapema kabisa kwamba Kuna watu hawataleta timu uwanjani Ili washabiki waliendelea kuuziwa tickets, Bodi ya ligi ilishindwa hata kutoa ka press kadogo tu kusisitiza umuhimu wa mechi hii kwa nchi yetu nakuonya hujuma za kijinga kwa wale waliokuwa wanafikiria kufanya hivyo, tamko dogo kama hili tu lingeweza kuepusha ujinga na aibu iliyojitokeza Jana siku ya wanawake duniani.
Kama TFF, Bodi ya ligi na Simba Sport Club mliridhia mechi ya Jana isiwepo, kwanini mliendelea kuuza tickets, washabiki wenu tunawasapoti kwa Hali na mali mnatuletea dharau ya kiwango hichi? Mnahujumu mapenzi yetu kwenu, mnahujumu uchumi wetu mifukoni kwa ruhusu pesa zetu zipotee bila sababu za msingi.
TFF mmetufedhehesha
Bodi ya ligi mmetufedhehesha
Simba Sport Club mmetufedhehesha.
Kiufupi kuanzia wakati huu tunahitaji kusikia nini haswa kilichotokea, na maelezo haya yanapaswa kutolewa na wahusika, kila mmoja kwa nafasi yake kuanzia captain wa timu mpaka mfungua geti aliyekataa kufungua geti.
Tunatakata kujua wahusika walioongoza mchakato mzima wa hujuma hizi kwanzia kiongozi wa msafara wa timu iliyokwenda uwanjani kufanya mazoezi usiku kabla ya mechi.
Tunataka kusikia hatua za kisheria na kinidhamu zinazochukuliwa na zilizochukuliwa dhidi ya wahusika mpaka wakati huu.
Tunataka kujua mchakato wa pesa zetu tulizolipa kama kiingilio kwenye mechi hewa tunazipataje.
Tunatakata kusikia maombi ya msamaha kutoka kwa wahusika wote kwenda kwa mashabiki wa timu za Simba na Yanga na wapenzi wa ligi kuu bara hapa Tanzania, Afrika na Dunia kote.
Na mwisho huu ujinga usijirudie tena, vinginevyo hatuwashabiki tena, tunawezasapoti timu mbili ndogo na zikapnda daraja, ni kitu gani kitushinde watanzania?