Kuna fomyula mzee ta kugawana mapato na matumuzi kati ya zenji na bara,na kumbuka pia fomyula ndio ulianzisha benki kuu,ambapo zenji wakichanga na bara walichanga kuianzisha
Kuna fomyula mzee ta kugawana mapato na matumuzi kati ya zenji na bara,na kumbuka pia fomyula ndio ulianzisha benki kuu,ambapo zenji wakichanga na bara walichanga kuianzisha
Kwa sasa kuhusu mkopo wa kovid Zenj 200bil bara 400bil,
na hela za tozo juu, nafasi ya Tanganyika baada ya kuvunjika muungano
katika hizo mali na mikopo ni ipi?
Tutajie hiyo fomula ambayo EAC ilipovunjika haikuwa nayo,
mpaka ikapppelekea Kenya kuhodhi mali za EAC.