Inabidi kwanza tuwajengee viongozi wetu mila na desturi ya kufuata na kuiheshimu katiba. Fikiria tu hata katiba iliyopo japo sio nzuri sana lakini haieshimiki kabisa. Angepatikana mmoja wa Demo Kama Suwboofer akapelekwa kula soya segerea, assuredly akili zingewarudia.