Siku wanachama wa CCM watakapojitambua

Siku wanachama wa CCM watakapojitambua

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
Kuna siku wanachama wa ccm watakapo jitambua kuwa:-

1. Watoto wao wamesoma wanazurura hakuna ajira.

2. Huduma za jijamii hazipo kulingana na mahitaji yao

3. Raslimali zipo ila zinamilikiwa na wachache

4. CCM ni familia ya watu wachache wanao ongoza mamilioni ya watu wasio na walio wanachama

5. Kuomba omba kwa wanachama wao ili waweze kuishi kukikoma

6. Siku CCM bara itaongozwa na CCM visiwani

7. Siku wataelewa kuwa wanashirikiana na viongozi wao ambao hawalete maendelei bali ni maneno

8. Siku wasio wanachama watsingia mtaani kudai walivyoteseka tangu uhuru.

Ikifuka 2030 CCM itasambaratika!
 
Hawawezi kujitambua, ukishakuwa mwanachama tu unakuwa umerogeka, full complete msukule kichaa.
 
Kuna siku wanachama wa ccm watakapo jitambua kuwa:-

1. Watoto wao wamesoma wanazurura hakuna ajira.

2. Huduma za jijamii hazipo kulingana na mahitaji yao

3. Raslimali zipo ila zinamilikiwa na wachache

4. CCM ni familia ya watu wachache wanao ongoza mamilioni ya watu wasio na walio wanachama

5. Kuomba omba kwa wanachama wao ili waweze kuishi kukikoma

6. Siku CCM bara itaongozwa na CCM visiwani

7. Siku wataelewa kuwa wanashirikiana na viongozi wao ambao hawalete maendelei bali ni maneno

8. Siku wasio wanachama watsingia mtaani kudai walivyoteseka tangu uhuru.

Ikifuka 2030 CCM itasambaratika!
na kwamaba wewe unajitambua right?
 
Back
Top Bottom