Siku watu wakikutana watakimbiana humu!

Siku watu wakikutana watakimbiana humu!

Sasa mkuu bahati mbaya siku umeahidiana na mwanaJF mmoja kwamba muonane mfahamiane then aje akukute upo tofauti na avatar yako ilivyo si ndo mwanzo wa kukimbiana?
 
mimi naunga unga life alaf sina hata kazi alaf hata hizo nyumba za milioni 3 sizijui zipoje alaf wewe umesema wanajf wote means hata sie waungaji tupo[emoji20]
Unajua wewe hujui uki log in jf shida huwa unaziacha hukooo!
 
Kwa maisha tunayoishi jf ya ufahari mkubwa
Magari ya bei mbaya!

Majumba ya kifahari

Kazi nzuri nzuri

Mavazi ya kifahari
Jf hakuna aliyepanga chumba kimoja labda Nyumba nzima kodi 3 millions na zaidi

Hakuna anayekula kwa shida!

Kila mtu anatembea amekaa tena sio starlet!

Hakuna anayepata mshahara Wa chini ya laki 9!
Wote tumeajiriwa vitengo nyeti!
Au tuna mabusiness au makampuni cc husnathebossylady!

Hakuna anayeungaunga life!

Wote tuko mahandsome na mabeautifu
Tuna ngozi nyororo na sura za mvuto!

Mods naomba watusaidie kupanga get together party walau tukutane one day!
Na wamikoani nao waje dar! Au Wa dar waende mikoani
kila binti ni mrembo, hakuna mweny flatscreen wote chura,, mfano ni wewe mwenyewe too fake
 
Back
Top Bottom