Siku watu wakikutana watakimbiana humu!

Siku watu wakikutana watakimbiana humu!

Labda wewe ndio unafake life..
Mbona JF ndio wa kwanza kulalamika vyuma vinakaza..
Mbona kuna wadau wanatoa story za nyumba za kupanga..
Kuna hadi madogo wanaomba notce za form 5...
Kuna watu wanatangaza kuuza kuku humu..

Usitake kuwasingizia wadau mkuu
Hata mimi nashangaa, tena kuna wengine wanaomba hata buku la chakula na wanapewa
 
Kwa maisha tunayoishi jf ya ufahari mkubwa
Magari ya bei mbaya!

Majumba ya kifahari

Kazi nzuri nzuri

Mavazi ya kifahari
Jf hakuna aliyepanga chumba kimoja labda Nyumba nzima kodi 3 millions na zaidi

Hakuna anayekula kwa shida!

Kila mtu anatembea amekaa tena sio starlet!

Hakuna anayepata mshahara Wa chini ya laki 9!
Wote tumeajiriwa vitengo nyeti!
Au tuna mabusiness au makampuni cc husnathebossylady!

Hakuna anayeungaunga life!

Wote tuko mahandsome na mabeautifu
Tuna ngozi nyororo na sura za mvuto!

Mods naomba watusaidie kupanga get together party walau tukutane one day!
Na wamikoani nao waje dar! Au Wa dar waende mikoani
Sema umachagua nyuzi za kusoma, mbona wakulima wadogo wadogo tuna nyuzi zetu humu tunajadili masoko ya mazao na changamoto zake
 
Back
Top Bottom