mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Chaguzi zote kawe halima anashinda kwa mbinde, mizengwe, hashindagi kilonyalonyaHakika wamedhamiri kumng'oa dada
Huyo ndy superwoman
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chaguzi zote kawe halima anashinda kwa mbinde, mizengwe, hashindagi kilonyalonyaHakika wamedhamiri kumng'oa dada
Pamoja na makelele yote huko kwenu, kwenye mpambano atakuja baki mmoja tu.Hakika wamedhamiri kumng'oa dada
Hahahahahahahahah Akili za wana CCM bana,Eti Piga ua linarudi CCM.Jimbo la kawe piga ua linarudi CCM.so atakaepitishwa ndani ya CCM ndo mbunge huyo.na watia nia wa CCM wanataarifa ya jimbo la kawe ni miongoni mwa majimbo mkakati ya kuyarudisha.
Kwenye haya majiji makubwa majiji tata ni A.town na kwa sugu.hapa kuna mbinde.Hahahahahahahahah Akili za wana CCM bana,Eti Piga ua linarudi CCM.
Simply UDC, UDAS &UDED ndo vinatafutwa hapoLeo ikiwa ni siku ya kwanza kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ndani ya Chama Cha Mapinduzi. zaidi ya wanachama 80 wamejitokeza kuchukua fomu katika jimbo la Kawe..
Je ni democrasia?
Jobless?
Kufukuzia uteuzi wa UDC, UDED au UDAS?
au ni wito wa kuwatumikia wananchi umetanuka?
Tena, inawezekana hao ni wewe!Sio kweli, Bia yetu ni mwingine na Kawe Alumni ni mwingine. Wanafiki wanawachanganya.
Kavute bangi + konyagi.Tena, inawezekana hao ni wewe!
Hapo kwa Bia yetu na Kawe Alumni nakutoa. ID hizo, huwa hawana "MANENO YA SHOMBO" kama yako!Kavute bangi + konyagi.