Now or Never
Member
- May 20, 2022
- 45
- 110
Dr kaniambia ni changa sana, maana tulianza kukutana trh 1 Aug. Leo nimejaribu UPT nakuta tayari kimenuka.doh mie navyojua ni baada ya week 2
Kaka yakweli haya?Tena huawa kinaonekana hakijakolea hivyo hivyooo...!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hongeraa mzewe
Nashukuru sana Doctor. Itachukua muda gani mpaka muhusika mwenyewe kuja kujua kama ana mimba?Peak ya b-hCG inaonekana kuanzia siku ya 9-12.. so yeah! Chuma ndani hiyo mkuu. Hongeraa!!
Asante Jirani. Nimewahi kujua aisee nimebaki namwangalia tu mwenzangu ananiambia hataki kushika mimba mapema😅Hongera ba kijacho
Mpaka sasa atakua ashaanza kupata morning sickness.. kama kichefuchefu na hata kutapika.Nashukuru sana Doctor. Itachukua muda gani mpaka muhusika mwenyewe kuja kujua kama ana mimba?