Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni heri kupiga nyeto kuliko kwenda kutafuta maradhiKwani ukifanya ina madhara gani, mie nilidhani ni njia salama ya kuepuka maradhi
Wewe ni jinsia gani?Kwani ukifanya ina madhara gani, mie nilidhani ni njia salama ya kuepuka maradhi
Humu tunatumia fake ID's, kuwa tu mkweli. Ukipiga nyeto unakuwa huna hamu ya kuendelea bao la 2, itakuchukua muda mrefu sana. Pia unapoteza hisia kwa wanawake kwani porn zitakuwa zinakudanganya.Na nyeto Hii hii ninao watoto 4 .
Je yapo majaribio yeyote ya kisayansi yanayothibitisha unalolisema hapa?
Apige nyeto ili awe hanithi au? Au awe mgumba?Ni heri kupiga nyeto kuliko kwenda kutafuta maradhi
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mkuu bao la pili la nini?Humu tunatumia fake ID's, kuwa tu mkweli. Ukipiga nyeto unakuwa huna hamu ya kuendelea bao la 2, itakuchukua muda mrefu sana. Pia unapoteza hisia kwa wanawake kwani porn zitakuwa zinakudanganya.
Kongole sana ,halafu punyeto inakupunguzia confidence na kujiona dhaifu sana yaani ukipiga kimoja tu akili zinarudi na kuanza kujilaamu kwa raha za sekunde chache tu unabaki na majuto moyoni.Humu tunatumia fake ID's, kuwa tu mkweli. Ukipiga nyeto unakuwa huna hamu ya kuendelea bao la 2, itakuchukua muda mrefu sana. Pia unapoteza hisia kwa wanawake kwani porn zitakuwa zinakudanganya.
Hahahahah! ComradeMkuu bao la pili la nini?
Hii ni KWA ajili ya kuzalisha/kurutubisha apatikane kiumbe ...
Anyway Nimeandika kishabiki /kiutani utani .. Inshort nyeto siyo nzuri
Tunatoboa kaka, kwa ari mpya, nguvu mpya, na kasi mpya!Hatoboi mtu..[emoji23]
Kenzy we' huna mpango wa kuacha, unataka kuwa hanithi siyoHatoboi mtu..[emoji23]
Sasa si nitakuwa narudi kule kule? Hii imetoka kurudi pancha.Leo piga hata bao mbili za kujipongeza kuishinda punyeto.
Kabisa. Kabisa!Kongole sana ,halafu punyeto inakupunguzia confidence na kujiona dhaifu sana yaani ukipiga kimoja tu akili zinarudi na kuanza kujilaamu kwa raha za sekunde chache tu unabaki na majuto moyoni.
Coneksheni ya uwoya umeiona mkuu 🤣🤣Kenzy we' huna mpango wa kuacha, unataka kuwa hanithi siyo
Kuna wanaume hawajawahi kupiga nyeto kabisa, unaamini hilo?Umepumzika tu
Tunataka kurudishana kule kule sasa, tuishie hapa.Coneksheni ya uwoya umeiona mkuu [emoji1787][emoji1787]
Kiongozi wewe umepumzika tu hauna muda mrefu utajichukulia sheria mkononi. 🤣🤣🤣Natimiza 0.10 months sjapiga punyeto. Hakika nastahili kujipongeza kwa hili. Si kawaida na haijawahi tokea! Hapa najizuia kutokula vyakula vya mafuta kwa wingi. Nakula diet ya majani ya maboga ya kukaushwa juani yaliyopikwa kwa karanga, china iliyochemshwa chuku chuku kidogo sana. Ugali kidogo sana hasa dona, maji kiasi, matunda na mchanganyiko wa kachumbari.
Sijaangalia porn mpaka muda huu, nafikiria jioni leo niende maeneo.! Ninachoweza kusema ni NoFap Challenge imenisaidia sana na naona matokeo chanya.
Wote tuseme NoFap!
Kwa pamoja tuitokomeze punyeto!