Siku ya 3 leo sijapiga punyeto. Alhamdullilah

Na nyeto Hii hii ninao watoto 4 .

Je yapo majaribio yeyote ya kisayansi yanayothibitisha unalolisema hapa?
Humu tunatumia fake ID's, kuwa tu mkweli. Ukipiga nyeto unakuwa huna hamu ya kuendelea bao la 2, itakuchukua muda mrefu sana. Pia unapoteza hisia kwa wanawake kwani porn zitakuwa zinakudanganya.
 
Humu tunatumia fake ID's, kuwa tu mkweli. Ukipiga nyeto unakuwa huna hamu ya kuendelea bao la 2, itakuchukua muda mrefu sana. Pia unapoteza hisia kwa wanawake kwani porn zitakuwa zinakudanganya.
Mkuu bao la pili la nini?


Hii ni KWA ajili ya kuzalisha/kurutubisha apatikane kiumbe ...


Anyway Nimeandika kishabiki /kiutani utani .. Inshort nyeto siyo nzuri
 
Humu tunatumia fake ID's, kuwa tu mkweli. Ukipiga nyeto unakuwa huna hamu ya kuendelea bao la 2, itakuchukua muda mrefu sana. Pia unapoteza hisia kwa wanawake kwani porn zitakuwa zinakudanganya.
Kongole sana ,halafu punyeto inakupunguzia confidence na kujiona dhaifu sana yaani ukipiga kimoja tu akili zinarudi na kuanza kujilaamu kwa raha za sekunde chache tu unabaki na majuto moyoni.
 
Kiongozi wewe umepumzika tu hauna muda mrefu utajichukulia sheria mkononi. 🤣🤣🤣

Mark my words
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…