KERO Siku ya 4 Mbezi Beach hatuna maji, mpaka sasa hatupewi majibu ya kuridhisha hali inazidi kuwa tete. Si mje mng'oe na hizi mita zenu tujue moja

KERO Siku ya 4 Mbezi Beach hatuna maji, mpaka sasa hatupewi majibu ya kuridhisha hali inazidi kuwa tete. Si mje mng'oe na hizi mita zenu tujue moja

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Wizara ya Maji Hawajui umuhimu wa wananchi kupata maji, DAWASA wanachojua ni kuzunguka mitaani na bajaji ila wananchokifanya hakijulikani maana maji hakuna mitaani, Malamba Mawili Msikiti maji hakuna Miezi miwili sasa mkiwauliza DAWASA wanajibu tatizo limepokelewa ila majibu ya utatuzi hakuna.

Walikuwa wanandai hayapandi sijui kipenyo cha bomba kidogo ila Siku Waziri Aweso anakuja Ubongo maji yalitoka sijui yalipandaje?

Huenda wanamiliki yale magari ya kuuza maji hivyo wanafanya makusudi ili wauze maji, yaani miezi miwili bila maji na mnadai bili bila huruma tununue maji kwa 20000 kwa lita 1000 halafu tuwalipe na nyie kwa kutuwekea bomba lisilotoa maji.

Wizara ya Maji mnafeli sana hamfai kabisa nawaambia mnazingua sana mbona kwenu yanatoka? Kwa nini msijikatie na kwenu wizarani hapo ili muone raha ya kukosa maji inavyofanana, mnakera sana yaani.
 
Mama ni mama
1730301278826.jpg
 
Wizara ya Maji Hawajui umuhimu wa wananchi kupata maji, DAWASA wanachojua ni kuzunguka mitaani na bajaji ila wananchokifanya hakijulikani maana maji hakuna mitaani, Malamba Mawili Msikiti maji hakuna Miezi miwili sasa mkiwauliza DAWASA wanajibu tatizo limepokelewa ila majibu ya utatuzi hakuna.

Walikuwa wanandai hayapandi sijui kipenyo cha bomba kidogo ila Siku Waziri Aweso anakuja Ubongo maji yalitoka sijui yalipandaje?

Huenda wanamiliki yale magari ya kuuza maji hivyo wanafanya makusudi ili wauze maji, yaani miezi miwili bila maji na mnadai bili bila huruma tununue maji kwa 20000 kwa lita 1000 halafu tuwalipe na nyie kwa kutuwekea bomba lisilotoa maji.

Wizara ya Maji mnafeli sana hamfai kabisa nawaambia mnazingua sana mbona kwenu yanatoka? Kwa nini msijikatie na kwenu wizarani hapo ili muone raha ya kukosa maji inavyofanana, mnakera sana yaani.
Shangaa wewe, unanunua maji na bado bili inakuja vile vile, afu waziri wakifika hitilafu na changamoto zote zinayeyuka🤦‍♂️🤦‍♂️ kuna kitu kinafanywa hapa, na anayecheza mchezo huo atakuwa na nguvu za kutosha mpaka anajiamini hivi
 
Back
Top Bottom