Siku ya Baba Duniani: Kwanini katika familia nyingi akina baba hutangulia kufariki?

Nafasi ya Mungu kuwa kiongozi hiyo haibadiliki hata mme akiwa hai au akiwa amekufa,na pia neema na fadhili zipo muda wote kwa kila mtu. Kuhusu kula tunda, mwanaume ndiyo alikuwa na hilo jukumu la kumwambia mke wake maagizo yote maana hata jina ni yeye alimpa,mwanamke kula tunda tayari ilikuwa ni dhambi ilikuwa inasubiriwa muda wa adhabu tu,we unafikiri kama mme angekataa kula tunda ingekuaje?
 
Pole sana mwalimu,uzuri watoto wa kike wanavutwa upande wa baba na watoto wa kiume wanavutwa upande wa mama, na watoto wa kike wakishaolewa hawana tena nguvu sana upande wetu na hivyo kutuacha wapweke.
 
Wababa kuwalala mabeki tatu oyuuuuu

Hakuna baba asiyekula mschana wa kazi nasema hakuna
Kiroho yule anayekupikia,kukufulia na kazi nyingine huyo ndiye mke wako,mke ni "majukumu". Mke wako yeye atakaa na boss wake maana ndiye anamjali kuliko wewe. Lakini punguza msisitizo wa kila mwanaume kukaa na dada wa kazi!.
 
Mwanamke ni mlinzi wa mwanaume,hivyo mke naye amepwaya hapo
 
Wanaume wengi hutangulia kufariki
  1. Frustration wanazosababishiwa na wake zao
  2. Kuuawa ili wanawake wafanye yao
 
Umemaliza mkuu,hii ndiyo jawabu sasa
 
Wanaume wengi hutangulia kufariki
  1. Frustration wanazosababishiwa na wake zao
  2. Kuuawa ili wanawake wafanye yao
Hii ya pili ni kutokana na kubanwa kutekeleza ndoto zao na hivyo kutafuta uhuru wa kutekeleza,ila mara nyingi hufeli na kuharibu kabisa.
 
Aaah yaani KE anisumbue nianze kuweka mambb kifuani,ya nini kuteseka. Si tumeambiwa tuishi nao kwa akili,hawa viumbe ni kuwapa adhabu ya kisaikolojia tu na sio kutumia minguvu
 
Kama Adam angekataa dhambi isingeingia duniani
 
Unasema andiko lako la kiroho sana wakati liko kimwili asilimia zote

Elewa Mungu anapambania wanaume ili msimamo wake uonekane lkn shetani anasimamia wanawake ili atawale, nb ujue siyo kila mwanaume anayekufa huwa kweli amekufa rahasha ukiwa rohoni utanielewa
Wengine hupotea kimazingira tu mnadhani kafa vita ya mwanaume ni kubwa na shubiri yake si ya kitoto lzm ujue hili
 
Aaah yaani KE anisumbue nianze kuweka mambb kifuani,ya nini kuteseka. Si tumeambiwa tuishi nao kwa akili,hawa viumbe ni kuwapa adhabu ya kisaikolojia tu na sio kutumia minguvu
Hiyo njia usijaribu maana imeua wengi,bora kuachana nao na kukaa mbali kimya
 
Mchango mzuri,ila naona upo rahoni sana kuliko rohoni yenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…