Siku ya Baba Duniani: Kwanini katika familia nyingi akina baba hutangulia kufariki?

Kwa kua wanateseka na kutaabika katika hii Dunia

Wakuu Jua ni kali sanaπŸ˜€πŸ˜€
 
Vitombi balaaa hivyo magonjwa na limbwata mbali mbali zinawahisha futi saba

Pombe,wanaendekeza pombe wengi wanaona ndo uanaume

Stress hawana pa kutolea stress

Risky takers hasa sehemu zenye pesa hahali hatari ya kazi husika ili mradi adake pesa
 
Kwani sheria inasemaje kuhusu ilo?




KAZI ni kipimo cha UTU
 
Vitombi balaaa hivyo magonjwa na limbwata mbali mbali zinawahisha futi saba

Pombe,wanaendekeza pombe wengi wanaona ndo uanaume

Stress hawana pa kutolea stress

Risky takers hasa sehemu zenye pesa hahali hatari ya kazi husika ili mradi adake pesa
Daaa!,asante sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…