Siku ya Baba Duniani: Kwanini katika familia nyingi akina baba hutangulia kufariki?

Hata mwanaume akiishi maisha mazuri atatangulia tu kwani marais wangapi wamefariki wameacha wake zao chunguza hata nchi za nje mf mme wa malkia Elizabeth
 
Hata mwanaume akiishi maisha mazuri atatangulia tu kwani marais wangapi wamefariki wameacha wake zao chunguza hata nchi za nje mf mme wa malkia Elizabeth
We unafikiri ni kwa nini?
 
LAANA Toka Kwa wazazi Kwa kutokuwajali , kutowaheshimu, kutowasikiliza, huua wanaume wengi zaidi duniani.

Neno lasema, Waheshimu baba na mama Yako, siku zako zipate kuwa nyingi katika Nchi upewayo na BWANA Mungu wako.

Amen
 
LAANA Toka Kwa wazazi Kwa kutokuwajali , kutowaheshimu, kutowasikiliza, huua wanaume wengi zaidi duniani.

Neno lasema, Waheshimu baba na mama Yako, siku zako zipate kuwa nyingi katika Nchi upewayo na BWANA Mungu wako.

Amen
Asikiaye na afahamu
 
Stress...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…