Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah.... Kwani jamaa alikubwaga au Jovin alifanya yake ukamtema? [emoji87]Siku yangu ya ndoa ntatia saini kwenye cheti cha ndoa kwa penseli[emoji422]siwez kuingizwa ktk matatizo kijinga kijinga mm☹ akizingua tu nafuta
Huo ufutio akigundua ulipo baaasi umekwisha mana atakavo kufuta kule kunako utamgandia hadi utaenda kutia saini kwa Mara ya pili mwenyewe tena utakoleza wino Mara mbili ili asije kukukimbia.Siku yangu ya ndoa ntatia saini kwenye cheti cha ndoa kwa penseli✏siwez kuingizwa ktk matatizo kijinga kijinga mm☹ akizingua tu nafuta
Hivi wewe ni Team Bwawa au Team Nusu Kipenyo?Siku yangu ya ndoa ntatia saini kwenye cheti cha ndoa kwa penseli[emoji422]siwez kuingizwa ktk matatizo kijinga kijinga mm☹ akizingua tu nafuta
Au km vipi cheti kiwe toileti pepa, akizingua tu fyuuuuu unakiflashiSiku yangu ya ndoa ntatia saini kwenye cheti cha ndoa kwa penseli[emoji422]siwez kuingizwa ktk matatizo kijinga kijinga mm☹ akizingua tu nafuta