Ninavyoelewa mie, na kutokana na maelezo yako hapo juu, unapaswa ukutane na mwenzi wako kati ya tarehe 1 hadi 8. Ndani ya hizo siku, kiumbe kitapatikana tu
Weka wazi nikusaidie. Kuna mizunguko mikuu mitatu. Mrefu siku 31, wa kati(kawaida) siku 28 na mfupi siku 24. Upo wapi?
Sawa. Sikia wewe siku ya 15 ndo yai linapevushwa. 15-2=13, 15+2=17. So kuanzia siku ya 13 - 17 ndo siku za wewe kupata mimba. Anza kusex siku ya 12 hadi siku ya 19 kila siku bila kuruka. Mapema sio usiku mwingi. Pia unaposex fanya enjoyeable fikra zenu ziwe ktk kufarahia kusex sio kuwaza mimba. Jiachie ktk kusex. La zaidi muombe MUNGU wako akupe mtoto.
Ninavyoelewa mie, na kutokana na maelezo yako hapo juu, unapaswa ukutane na mwenzi wako kati ya tarehe 1 hadi 8. Ndani ya hizo siku, kiumbe kitapatikana tu
uko sawa kabisaSawa. Sikia wewe siku
ya 15 ndo yai linapevushwa. 15-2=13, 15+2=17. So kuanzia siku ya 13 - 17
ndo siku za wewe kupata mimba. Anza kusex siku ya 12 hadi siku ya 19
kila siku bila kuruka. Mapema sio usiku mwingi. Pia unaposex fanya
enjoyeable fikra zenu ziwe ktk kufarahia kusex sio kuwaza mimba. Jiachie
ktk kusex. La zaidi muombe MUNGU wako akupe mtoto.
aise pole sana ...kama wewe ni mtaalam wa afya utapotosha wengiibaraka
hapana. Sio siku tarehe hizo. Kama anaanza menses tarehe 9 basi
Ovulation itakuwa tarehe tarehe 22, hivyo anapaswa kukutana kati ya
tarehe 20 mpaka tarehe 24.
Kwanini? Yai linapevuka siku ya 14 na kwa kuwa linaweza kuwa hai hadi
masaa 48(siku 2) na mbegu zinaweza kuwa hai hadi masaa 72(Siku
3)
Sawa. Sikia wewe siku ya 15 ndo yai linapevushwa. 15-2=13, 15+2=17. So kuanzia siku ya 13 - 17 ndo siku za wewe kupata mimba. Anza kusex siku ya 12 hadi siku ya 19 kila siku bila kuruka. Mapema sio usiku mwingi. Pia unaposex fanya enjoyeable fikra zenu ziwe ktk kufarahia kusex sio kuwaza mimba. Jiachie ktk kusex. La zaidi muombe MUNGU wako akupe mtoto.
Habari wana jf. Natamani kuwa na mtoto. Hivyo naomba msaada juu ya siku ya kushika mimba. Mzunguko wangu wa period naanza tarehe 9 na kumaliza tarehe 14.
Hapa pagumu sn tu. Sasa mwenye ukweli ni nani hapa? Hebu madaktari in professional wanyoshe mikono juuaise pole sana ...kama wewe ni mtaalam wa afya utapotosha wengi
Nina mzunguko wa siku 31
Uko sahihi kabisa, ulichoeleza ni kuhusu siku ktk mzunguko, yaani akiona damu leo, hiyo ndo cku yake ya kwanza kwa hiyo aesabu mpaka 13 hadi 19 ndo cku nzuri za kumimbishwa. pia asitumie tarehe za kwenye kalenda bali ahesabu cku ktk mtindo huu.Sawa. Sikia wewe siku ya 15 ndo yai linapevushwa. 15-2=13, 15+2=17. So kuanzia siku ya 13 - 17 ndo siku za wewe kupata mimba. Anza kusex siku ya 12 hadi siku ya 19 kila siku bila kuruka. Mapema sio usiku mwingi. Pia unaposex fanya enjoyeable fikra zenu ziwe ktk kufarahia kusex sio kuwaza mimba. Jiachie ktk kusex. La zaidi muombe MUNGU wako akupe mtoto.
Umeolewa? Maana usije kuwa unatafuta mtoto ilhali upo single na yamkini bikra