Siku ya kushika mimba ni ipi?

Siku ya kushika mimba ni ipi?

Pole sana ndugu yangu maana unaonekana hauna elimu ya siku zako,ngoja nikufungue macho.
Haiwezekani mizunguko yako kuanza tar9 na kuisha tar14 coz mwisho wa mzunguko mmoja ni mwanzo wa mzunguko mwingne,kwa hiyo achana na tarehe zitakuchanganya.Kwa nilivyokuelewa ni kwamba mzunguko wako unasiku 35,hii ni moja kati ya mizunguko mrefu.
Ngoja nikueleze kirahisi sana
-Pindi unapoona damu zinatoka(hedhi) ujue ni siku yako ya kwanza ya mzunguko
-Endelea kuhesabu siku kwa mzunguko wako wewe siku za kupata mimba ni siku ya 18 hadi ya 24 toka hedhi ilipoanza,kwa hiyo siku hizi zitumie vizuri saana.
ZAIDI YA HAYO
-Siku ya 21 yai la kike huwa linatoka kwenye ovari kwa mzunguko wako.
-Siku ya 18 hadi 20 ni siku ambazo kuna uwezekano mkubwa wa kupatikana mtoto wa kike
-Siku ya 21 hadi 22 mtoto wa kiume
-Siku ya 23 hadi 24 hazna uhakika sana
 
Ukienda Hosp doc atakupa dawa utakunywa kwa muda wa miezi mi3 then siku zako zitakua sawa sawa. Ila kwa sasa huwezi shika mimba maana siku zako hazieleweki, nilishakua na tatizo hilo zamani.
Pole
dawa gani[emoji22]
 
IMG-20170117-WA0000.jpg
 
Back
Top Bottom