Anza wewe kwanza, unaikumbukaje?Je unakumbuka siku uliyofanyiwa tohara
Bado anagovi anataka apate xperience kwanza, ajiandae kisaikolojiaAnza wewe kwanza, unaikumbukaje?
Kwa taarifa tu, tungekuwa tunatahiriwa kwa mara ya pili(kwa ambao tuliotahiriwa tukiwa wakubwa, nilitahiriwa nikiwa na miaka 14) ningempiga mtu na mshale akitaka kunitahiri. Haya maneno aliwahi kuyasema Mzee mmoja kipindi nauguza kidonga cha kutahiriwa.Bado anagovi anataka apate xperience kwanza, ajiandae kisaikolojia
Sent using Jamii Forums mobile app
Kizazi cha sasa/mjini wana raha sana, wanatahiriwa wakiwa bado wadogo. Wakikua wanakuwa hawajui kama sakata la kutahiriwaHata sikumbuki nimejikuta tu nimeshatahiriwa
Nashukuru mungu nilifanyiwa hivyo nikiwa sijitambui. Kwa leo ungeniambia nifanyiwe huo utaratibu ningesema wacha nife na govinda tu hamna namna.Kizazi cha sasa/mjini wana raha sana, wanatahiriwa wakiwa bado wadogo. Wakikua wanakuwa hawajui kama sakata la kutahiriwa
Mkuu, huko wanaume kama mimi si wanaweza wakanichoma moto kwa hasira...!!??Wakurya huku kwetu wanatahiriwa wakubwa miaka kuanzia 15 then wanatembezwa kutoka kwa ngariba mpk makwao wale vijana wa kikurya jamani hapana nawaheshimu mnooo maana daah...!!sikuwahi ona aseehh!wapo wanatembea mpk 7kms ujue
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuchome kwa nini?Mkuu, huko wanaume kama mimi si wanaweza wakanichoma moto kwa hasira...!!??
Sent using Jamii Forums mobile app
Maneno ya mkosaji........ Iwe ganzi au bila ganzi ili mradi lengo limetimia........ Sema ka -ganzi kalitisha.Sisi tuliotahiriwa bila ganzi tunacomment wapi? Maana hatuwezi kuchanganya post zetu na hawa wanaume walaini waliotahiriwa kwa ganzi... [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Sent using Jamii Forums mobile app
Tutacomment mwisho tutafunga uzi kabisa πππSisi tuliotahiriwa bila ganzi tunacomment wapi? Maana hatuwezi kuchanganya post zetu na hawa wanaume walaini waliotahiriwa kwa ganzi... [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa stori yako inachekesha sana kama komedi vileNakumbuka Mzee alituvalisha nguo MPYA akasema twendeni safari nilikua na bro daah nikakuta tunashuka hospital Mara pap "washike wasikimbie" Mara paa "leteni mikasi " Mara paap "wavalishe kanga
Tukarudi home walemavu Wa mwendo