ziloi
JF-Expert Member
- Apr 15, 2018
- 758
- 1,063
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
..fanya haraka.....akikua kidogo tu ndio utamuonea huruma zaidii....sijamtahiri mtoto wangu mpaka leo kwa hizi comment mbn namuonea huruma
Ninachokumbuka keshoyake nilienda kutafuta ngoziyangu mahali waponikatia ilikuwa nyuma yanyumba😁Je unakumbuka siku uliyofanyiwa tohara
Mpeleke tu usione huruma hapo ndo una mfanya awe kamili mkono wa sueta kwa town sio mzuri husababisha magonjwasijamtahiri mtoto wangu mpaka leo kwa hizi comment mbn namuonea huruma
Asante sn kaka kwa ushauri nitafanya hivoMpeleke tu usione huruma hapo ndo una mfanya awe kamili mkono wa sueta kwa town sio mzuri husababisha magonjwa
Sent using Jamii Forums mobile app
sasa wasukuma wana tohara ya kimila?Jando sio kitu cha kuweka hadharani ,ni safari inayo badili maisha ya mwanaume ,hakunamadhara ya kumpeleka mtoto tohara ya kimila .Ni ulimbukeni kuacha tamaduni za mababu ,sidhani kama kuna jamii ya afrika isi yo na tohara ya kimili ...
wasukuma 87 hawakatwi goviMm nimetahiriwa tayri nimekula mizigo kadhaa nikiwa na mkono wa sweta. Shida kubwa niliypata ni ile lishe nzri maana ucku lazima nipige ndoto pevu yaan bao linamwagikia kwenye kidonda ***** mtu mzima kilio kinaanza upya
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado anagovi anataka apate xperience kwanza, ajiandae kisaikolojia
Sent using Jamii Forums mobile app