SawaSiku ya kwanza kuchungulia jf kabla sijajiunga niliwakuta watu mashughuri sana wawili mshana na Mrs mshana demiss nakwambia kulichangamka sasa sahivi sijui mahaba yao yaliishia wapi?
Preciuos?Tusiojua hili lilikuwepo tunasubiri comments
Mm hapaPreciuos?
Siku ya kwanza kuchungulia jf kabla sijajiunga niliwakuta watu mashughuri sana wawili mshana na Mrs mshana demiss nakwambia kulichangamka sasa sahivi sijui mahaba yao yaliishia wapi?
upcoming jf scandal. .mahondaw na Smart911
Nasubiri kujua penzi liliishia wapi.
Mwenzangu ndio nasubilia hapa wakongwe waje watujuze