Siku ya kwanza kazini, ulijisikiaje?

mudy92

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2014
Posts
671
Reaction score
531
Ebu tupe Experience yako hapo... coz wengine tunasikia tu kazi... kazi! na hatuzioni!!!
 
Duuuh!!! Mkuu hapo kwenye ''kazikazi na hatuzioni'' umenifurahisha sana.

Watu wanapeana kindugu.
 
nilijisikia mwenye furaha sana baada ya kusota mtaan mwaka mmoja.mwache mungu aitwe mungu.anafanya njia pasipo na njia
 
nliambiwa niwashe ac nkashindwa... nlishazoea panga boi za chuo!!!
 
nilijisikia mwenye furaha sana baada ya kusota mtaan mwaka mmoja.mwache mungu aitwe mungu.anafanya njia pasipo na njia

wewe hujasota kaka, hata mm nlisota mwaka na nusu, ILA NAJIONA SIJASOTA bz kuna watu wana hata miaka 4, bila kazi
NLIJISKIA RAHA TU NLIPOONA JINA GAZETINI KUWA NIMEITWA KAZINI, GOD should be glorified...
 
Nilikua sijiamini kufanya maamuzi nikawa nahisi wanaonitazama watanikosoa, ila nilipoona jina gazetini sikusinzia kabisa, kesho yake nikaenda baa nikakopa bia na konyagi za 35 000, nililewa sana
 
Duu mwaka mmja unasema umesota?? Mshukuru mungu we acha acha kaka hii k2 balaa
 
Nilikua sijiamini kufanya maamuzi nikawa nahisi wanaonitazama watanikosoa, ila nilipoona jina gazetini sikusinzia kabisa, kesho yake nikaenda baa nikakopa bia na konyagi za 35 000, nililewa sana

Huko kazini si utakuwa PAMPULA kabisa...
 
i was nervous...introductions, specifics etc...ila siku ilimalizika salama and day 1 was over nilimshukuru Mungu
 
Nilivaa jeans siku hiyo. Walinirudisha.
 
Nilivaa nguo niipendayo, nilivofka kazini nilkua muoga sana wa kila kitu. Af hyo siku niliwahi hakuna mfano nilikuta walinzi tu😂😂
 
Siku ya kwanza ilikuwa tabu sababu button za computer zilikuwa zimejimix yani control ipo kwenye shift, A ipo kwenye E.

Yani kutype tu barua jasho lilinitoka nashukuru work mates wazoefu walinibadilishia device maana ningeaibika.
 
Hio siku kila mmoja unaweza dhani ni boss au very experienced wengine ni watoto lakin unaweza dhani ni wazee, biti utakalopigwa sio la nchi hii, ila muda wao ni mwezi tu nikawa mchezo wote nishausoma kuanzia qualification, weakness na baadhi ya strenghs zao...

Kiukweli day one in job ni siku muhimu mno ya kutulia na kuwa makini...
 
Title ni siku ya kwanza kazini kumbe nilikiwa naona kuzini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…