Siku ya kwanza kijiweni kama dereva bodaboda

Boda ziko nyingi tu mida iyo, na abiria we ng wa kigamboni bei zao za kupoza tu.
 
Asante sana mkuu, hili napita nalo moja kwa moja [emoji1666]
Nikupongeze kwa uamuzi mgumu kama huu.
Ili ufanikiwe...tengeneza identity yako ili utengeneze wateja wako mwenyewe;

1. Uendeshe kwa mwendo wa wastani

2.Uwe makini barabaranibusiingie hovyo

3. Epuka kutongoza hovyo

4. Uwe mkweli ukiahidi muda wa kufika kwa mteja

5. Lugha iwe laini kwa wote

6. Uwe msafi usinuke

7. Ucheshi kiasi
 
Hili ni wazo zuri sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…