Wewe ni moja ya watu wajanja, i salute you mkuu.Anza kijiwe chako mzee abiria wapo tu, huko kutoa kiingilio ni uoga wa maisha, kwani wao walianzaje hapo kwenye kijiwe, funga mkanda anza sehemu yako utakua huru kwenye kufanya kazi zako.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Boda ziko nyingi tu mida iyo, na abiria we ng wa kigamboni bei zao za kupoza tu.Kama upo kigamboni uwe unawahi pale uhasibu kuanzia saa 10 alfajiri pale pesa hatari ,mida hiyo hakuna kabisa bodaboda
Pili na muhimu Sana ,vaa helmet muda wote na usiwe na haraka barabani na jitahidi Sana ufwate sheria
Kingine Kama pikipiki Ni mpya uwe makini kupakia abria wa kuingia vichochoroni
Naomba kujua jina la hii software unayotumia
Bolt driver hapo ni baada ya kufanya kazi na kuangalia income zako ila hata kama bado unaendelea na kazi unaangalia vizuri 2Naomba kujua jina la hii software unayotumia
Nikupongeze kwa uamuzi mgumu kama huu.Asante sana mkuu, hili napita nalo moja kwa moja [emoji1666]
Usikubali abiria wa kiume akusogelee sana😂😂 Mkuu naomba mawazo yako hapo kwenye thread...
Hasa wale Indiani people auUsikubali abiria wa kiume akusogelee sana
Hili ni wazo zuri sanaNakushauri ukiweza unaweza ku-park kariakoo
Kama una ndugu au jamaa yako (mwenye biashara kkoo) anaweza kukudhamini madukani ongea nae halafu mpite madukani akutambulishe ukipatikana mzigo unapigiwa simu unawapelekea wateja
Ukifanya mizigo inaweza kukulipa zaidi
Mf:kutoka kkoo kupeleka mzigo fire 5,000
Mbezi stendi ni 12,000
Kwa siku ukipata mizigo hata 6 inatosha
Ni uaminifu tu.