Elitwege
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 5,294
- 10,970
Habari ndugu,
Baada ya kukuru kakara za kupanga nyumba mbalimbali hapa jijini Dar es Salaam kwa miaka 5 hatimae nikafanikiwa kujenga nyumba yangu.
Nilikuwa nasikia tu watu wakisema mjini kuna baba mwenye nyumba, sasa nimejionea mwenyewe jamani nawaambieni furaha na amani yake usipime.
Siku ya kwanza kuhamia kwenye mjengo wangu kila mtu aliamka ana furaha na amani kuanzia mimi, watoto, mke na jamaa zangu.
Ndugu zangu ya Mungu mengi, ashukuriwe aliye juu.
Baada ya kukuru kakara za kupanga nyumba mbalimbali hapa jijini Dar es Salaam kwa miaka 5 hatimae nikafanikiwa kujenga nyumba yangu.
Nilikuwa nasikia tu watu wakisema mjini kuna baba mwenye nyumba, sasa nimejionea mwenyewe jamani nawaambieni furaha na amani yake usipime.
Siku ya kwanza kuhamia kwenye mjengo wangu kila mtu aliamka ana furaha na amani kuanzia mimi, watoto, mke na jamaa zangu.
Ndugu zangu ya Mungu mengi, ashukuriwe aliye juu.