apprentice1997
Senior Member
- Jun 8, 2016
- 107
- 99
Ushamba unakufany usishibeHata uma ukikaa kulia hamna shida,bora kushiba tu.
Sijui vinaitwaje ila najua kinaitwa kisukisu hiki hiki cha kuchinjia kuku?
Uma Na kisumimi hata sijawai utakulaje kwa kisu jamani?
huo ni ufala
mwishoni watalia shokakisu hiki hiki cha kuchinjia kuku?
Mimi hua napiga kwa mkono tu... Hayo madudu siyawezimwishoni watalia shoka
Hilo ndo la msingiHata uma ukikaa kulia hamna shida,bora kushiba tu.
Haha kui twisheni yako muhimu, ntaumbuka mie x-pozhaless
hayo mambo sisi waafrika hayatusaidii lolote,kifupi ni utumwa tu huo,jiongeze na ujitathmini jinsi unavyosikitisha kwa huu uzi ulouletaTukumbushane Mara ya kwanza kura kwa kisu na uma ilikuwaje, Mimi nilibahatika kushiriki conference nyingi kubwa Mara zote nikawa nakula kisu naweka kushoto uma kulia basi nikazoeahvyo mwaka huu nikala na rafiki zangu wazungu walipoona nimefanya hivyo wakanambia nisipate shida kula vile nadhani walijikaza wasicheke ila baadae nikaalikwa kwenda kwenye dinner ya maana . mlimani city nikagoogle nakuja shtukia kumbe una unakaa kushoto kisu kulia nilicheka sana ushamba umezidi japokuwa bado sijawa pro bado najifunza
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]kisu hiki hiki cha kuchinjia kuku?