apprentice1997
Senior Member
- Jun 8, 2016
- 107
- 99
Tukumbushane Mara ya kwanza kura kwa kisu na uma ilikuwaje, Mimi nilibahatika kushiriki conference nyingi kubwa Mara zote nikawa nakula kisu naweka kushoto uma kulia basi nikazoeahvyo mwaka huu nikala na rafiki zangu wazungu walipoona nimefanya hivyo wakanambia nisipate shida kula vile nadhani walijikaza wasicheke ila baadae nikaalikwa kwenda kwenye dinner ya maana . mlimani city nikagoogle nakuja shtukia kumbe una unakaa kushoto kisu kulia nilicheka sana ushamba umezidi japokuwa bado sijawa pro bado najifunza