Siku Ya Kwanza Kunyanduana/Kunyandua/Kunyanduliwa

Siku Ya Kwanza Kunyanduana/Kunyandua/Kunyanduliwa

ndo experience yako hii?
Mimi sio kama nyie watoto wa miaka hii mnaangalia porn ndo mkapractice, miaka yetu unapigwa lecture na mabroo😁 unafanya hv unafanya hv mwanawake wa hivi unamla hivi Kwa wajanja zaidi walikua wanapiga chabo ili wapate ujuzi zaidi, siku hizi chabo hamna coz mnaangalia porn
 
Huna Wazazi dogo??
Hivi mtoto wako akaja kuifuma hii id yako humu 20 years to come na akakuta ndo Thread ulikua unaanzisha hizi na akuchane live kwamba ulikua popoma utajisikiaje we dunderhead??
nikishaitwa tu mzazi tayari sina baya kwa mwanangu! Mzazi hakosei mkuu!
 
Ingekua facebuk ungeona madogo wanafunguka sasa uku watu wenye mvi mpka mapajan unadhan utaambulia chochote
ndio maana nimekuja humu kwa sis magreat thinkers tujadili sio kila siku tunajadl siasa ya miaka na miaka na changes hakuna. Tunakuja hapa turefresh mind hata majibu wanayotoa members humu ya kunitusi naishia kucheka na kufurah tu. Jf sio uwanja wa kupeana lawama bali ni uwanja wa kupeana elimu,habari,burudani na refreshment
 
Uwepo wa vijana kama mimi unaifanya CCM kushka hatamu mpaka milele
 
nikishaitwa tu mzazi tayari sina baya kwa mwanangu! Mzazi hakosei mkuu!
Pole nilikuzingua Mkuu, kuna thread nimeisoma jana ikanikumbusha kuhusu kuishi kwa kufanya yaliyomema maana mwisho wetu sio mzuri sana. Nichukue fursa hii kukuomba radhi, japo nilihisi umekosea ila sikupaswa kutumia lugha ngumu kama ile. Deeply sorry Mkuu kama ukihitaji naweza futa na coment
 
Kama baba hawa vijana mlishindwa kuiondoa serikali ya kidhalimu basi hamna tofauti nao . Taifa la wafu kama jomo Kenyatta alivyosema . Me and you we are no better just another useless people
Hawa ndio wajenga taifa la kesho. Hii nchi ni jangwa kwa sasa
 
Tuna kundi kubwa sana la vijana wajinga bongo hii. Sema serikali haitakagi tuu kuwaambia ukweli vijana, imekausha tuu. 😁
Ukiwemo na wewe mkuu .kama umevuka ujana basi mzee mjinga .uwepo wa chama cha kijani toka 1977 ni kiashiria cha hilo
 
Back
Top Bottom