Siku ya kwanza kuona Maiti

Hahahahahaaa
Pia nikiwa secondary niliona jamaa kauawa porini madamu yametapakaa...sijawahi kusahau hadi leo aisee.
Ingawa siku hizi nimezoea ila ile ya mwanzo haijatokaga hadi leo
 
Hahahahahaaa
Pia nikiwa secondary niliona jamaa kauawa porini madamu yametapakaa...sijawahi kusahau hadi leo aisee.
Ingawa siku hizi nimezoea ila ile ya mwanzo haijatokaga hadi leo
Duuh ulikuwa mwenyewe??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…