Siku ya kwanza niliponunua gari

Siku ya kwanza niliponunua gari

Day one kumiliki gari kila mtu atakuwa na story yake. Ukiacha mengine mi nakumbuka mwenye nyumba wangu at that time aliekuwa kijana mwenzangu mwenye majidai na majisifu sana, mzee saa moja jioni napiga honi na GX 100 mind u ni 2007, jamaa alilowaje? Kesho yake akaniambia nitafute mlinzi after 2 months akadouble kodi, nikaona isiwe tabu nikaweka mlango wa mbele na wa nyuma, plaster, floor, umeme nk vitanikutia humo humo. Kiukweli gari yangu ya kwanza ukiacha ushamba wa kawaida ilinipa changamoto na kulazimika kuhamia nyumba ambayo b4 nilifikiri ningehamia labda after 2 yrs. Incomplete kabisaa@

Unanunua gari wakati uko nyumba ya kupanga
 
Umeweka chumvi nyingi sana kwenye story yako but story ni nzuri.

Wakati gari limezima kwa sababu ya betri, uliwezaje kulipeleka kwa Mwarabu akalitengeneza ukarudi nalo nyumbani?

oya mkuu vp ww mkaushie bana mpaka kila mtu ajue kuwa katudanganya na ni story just for fun?
 
Hahahaaa u make ma day!!!Acheni tu ushamba mzigo jamani.Kiukweli mi nimenunua gari kwa kukurupuka tu najuta.Maana nilikuwa natafutiza tu safari tusitokuwa na kichwa wala miguu nimeendesha mwezi mmoja tu gari yenyewe gx 100 gharama ya mafuta ndani ya huo mwezi yalizidi kipato changu sasa hv nimeipaki tu naendesha nikiwa na shughli maalum tu
 
Hahahaaa u make ma day!!!Acheni tu ushamba mzigo jamani.Kiukweli mi nimenunua gari kwa kukurupuka tu najuta.Maana nilikuwa natafutiza tu safari tusitokuwa na kichwa wala miguu nimeendesha mwezi mmoja tu gari yenyewe gx 100 gharama ya mafuta ndani ya huo mwezi yalizidi kipato changu sasa hv nimeipaki tu naendesha nikiwa na shughli maalum tu
Vp ulipokuwa unakutana na gari linalofanana na lako...
 
Dah we ulizidi mwenZio niliona kama mzigo hivi hasa pale nilipo lazwa polin kisa wese kuisha kurudi hom nilitamani wa kumuachia hayupo baada ya wiki nikauza kununua baja ccm hoyeee
 
Back
Top Bottom