Siku ya kwanza uliposafiri

Siku ya kwanza uliposafiri

Hahahahaaa. Lol

Hivyo Mkuu ulijua Daslam tuna udongo wetu? [emoji23]

Imagination si unajua?

Nilipofikia nakapewa jioni chakula kilikuwa ni chapati mbili na maharage ndio chakula cha jioni. Ukweli nililaani siku ile. Huwa sisahau na ujue nimetoka eneo ambalo jioni msosi ni ugali wa nguvu.

Yaani hata mkipika wali chakula cha ndege lazima ugali uwepo chakula cha wanaume. Alafu napewa chapati!!!!

Usiku ule minyoo iliunguruma sana tumboni sikulala na joto la DaresSalaam ilikuwa balaa yaani niliona nipo jehanamu hivi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] ila nadhani umri nao huwa ndio sababu mana sasa hivi kama mimi huwa naona sawa tu nikisafiri au ndio kwa sababu nimeshazowea [emoji23]
Kadri umri unavyoongezeka basi akili inapevuka. Mara ya kwanza ni mara ya kwanza nakumbuka sikuwa nimeanza primary [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Imagination si unajua?

Nilipofikia nakapewa jioni chakula kilikuwa ni chapati mbili na maharage ndio chakula cha jioni. Ukweli nililaani siku ile. Huwa sisahau na ujue nimetoka eneo ambalo jioni msosi ni ugali wa nguvu.

Yaani hata mkipika wali chakula cha ndege lazima ugali uwepo chakula cha wanaume. Alafu napewa chapati!!!!

Usiku ule minyoo iliunguruma sana tumboni sikulala na joto la DaresSalaam ilikuwa balaa yaani niliona nipo jehanamu hivi.
Hahahaaa. Pole Mkuu.

Japo wa kulibadilisha hili ni nyie nyie mnaokwenda huko kwani wengine huwa wanasambaza sifa ambazo sizo.
 
Hahahaaa. Pole Mkuu.

Japo wa kulibadilisha hili ni nyie nyie mnaokwenda huko kwani wengine huwa wanasambaza sifa ambazo sizo.

Sasa siku ya kwanza kupanda ndege nayo ilikuwa na utamu wake


Balaa nilipoenda chooni baada ya kupupu sasa ni flash uchafu wewe kile kishindo nusura nizimie.


Yaani balaaaaa tupu.
 
Kwa basi sikumbuki maana nilikuwa mdogo

Kwa treni nilifurahi sana aise, muda mwingi nilikuwa naangaza dirishani kuangalia nje, maana kwangu safari si kutoka tu sehemu moja kuenda sehemu nyingine, bali pia ni kutalii karibu mazingira yote ambayo nitakutana nayo kwenye safari yangu.

Kwa ndege pia nilifurahi mno, na ninachofurahia kuhusu ndege ni pale inapopaa na inapotua, nashangaa watu wengi wanasema huwa wanatapika au wanajisikia hovyo, mie sijawahi kukutana na hiyo hali kwa kweli labda kwa vile nafurahia sana kusafiri.

Travelling is my passion and hobby
 
Miaka ya 2000 mpk 2001, tulikua tukifunga shule tunasafiri mama alikua mpenzi sana wa treni kipindi hicho, hakika it was a very good experience, ile mnaona Milima, miti, na kuzunguka zunguka mule ndani huku Chuma kinatembea, damn I miss the times dah
 
Miaka ya 2000 mpk 2001, tulikua tukifunga shule tunasafiri mama alikua mpenzi sana wa treni kipindi hicho, hakika it was a very good experience, ile mnaona Milima, miti, na kuzunguka zunguka mule ndani huku Chuma kinatembea, damn I miss the times dah

Mimi sijawahi panda treni
 
Kichwa kiliuma Sana mamaae, nilisafiri usiku dsm saa kumi na mbili asb
 
Kwa basi sikumbuki maana nilikuwa mdogo

Kwa treni nilifurahi sana aise, muda mwingi nilikuwa naangaza dirishani kuangalia nje, maana kwangu safari si kutoka tu sehemu moja kuenda sehemu nyingine, bali pia ni kutalii karibu mazingira yote ambayo nitakutana nayo kwenye safari yangu.

Kwa ndege pia nilifurahi mno, na ninachofurahia kuhusu ndege ni pale inapopaa na inapotua, nashangaa watu wengi wanasema huwa wanatapika au wanajisikia hovyo, mie sijawahi kukutana na hiyo hali kwa kweli labda kwa vile nafurahia sana kusafiri.

Travelling is my passion and hobby
Wewe Ni pumbavu
 
Natamani kwenda mwanza na familia ili watoto wapande ndege tu watoe ujinga
 
Nilivyosafiri kwa basi nilidhani mikoa mengine town pako kama Dar.
 
Back
Top Bottom