Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,932
- 5,563
Siku kama ya leo alizaliwa Mtoto Mwanamume aitwae Godbless J Lema kwa sasa ni Mbunge makini wa Jimbo la Arusha mjini
Kama unamkubali nisaidie kumtakia heri katika kumbu kumbu yake hii muhimu ya kuzaliwa kwake.
Hongera sana mbunge wetu Godbless J Lema tunakuombea kwa Mungu uishi maisha marefu zaidi .
Kama unamkubali nisaidie kumtakia heri katika kumbu kumbu yake hii muhimu ya kuzaliwa kwake.
Hongera sana mbunge wetu Godbless J Lema tunakuombea kwa Mungu uishi maisha marefu zaidi .