Siku kama ya leo alizaliwa Mtoto Mwanamume aitwae #Godbless_Jonathan_Lema kwa sasa ni Mbunge makini wa Jimbo la Arusha mjini
Kama unamkubali nisaidie kumtakia heri katika kumbu kumbu yake hii muhimu ya kuzaliwa kwake.
Hongera sana mbunge wetu Godbless J Lema tunakuombea kwa Mungu uishi maisha marefu zaidi .
Alimwombea wapi?Biblia inasema kipimo upimacho ndicho utakachopimiwa kwa kujaa na kusukwa sukwa.Alimwombea Raisi kuwa atakufa kabla ya uchaguzi ujao.KIPIMO HICHO ALICHOPIMA kimrudie na kimpate.Happy birthday kwa leo akiendelea kusubiri kipimo alichopima.
Alimuombea lini na wapi tunaomba clipBiblia inasema kipimo upimacho ndicho utakachopimiwa kwa kujaa na kusukwa sukwa.Alimwombea Raisi kuwa atakufa kabla ya uchaguzi ujao.KIPIMO HICHO ALICHOPIMA kimrudie na kimpate.Happy birthday kwa leo akiendelea kusubiri kipimo alichopima.
Mungu tunaomba maombi hayo ya mh. Lema yatimie ili iwe kama anavyoomba lema ameniBiblia inasema kipimo upimacho ndicho utakachopimiwa kwa kujaa na kusukwa sukwa.Alimwombea Raisi kuwa atakufa kabla ya uchaguzi ujao.KIPIMO HICHO ALICHOPIMA kimrudie na kimpate.Happy birthday kwa leo akiendelea kusubiri kipimo alichopima.
Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema akihutubia wakazi wa kata ya Sombetini alikuwa akifafanua juu ya kilichotokea baada ya mzozo wake na Mkuu wa Mkoa Mrisho Gambo na hatua ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli kumpongeza Mkuu huyo wa Mkoa.Maombi aliyemwombea kifo Raisi Magufuli hayo hapo