Mwanamayu JF-Expert Member Joined May 7, 2010 Posts 11,662 Reaction score 6,888 Oct 6, 2020 #41 mnyonge wa hali ya chini said: Kwahiyo zile ajira elfu 13 za kampeni ndo zimeisha hivyo kwa walimu wa ngazi ya cheti? Click to expand... Mbona paragraph ya pili kutoka mwisho inatambua utoaji wa ajira hizo ngazi ya cheti.
mnyonge wa hali ya chini said: Kwahiyo zile ajira elfu 13 za kampeni ndo zimeisha hivyo kwa walimu wa ngazi ya cheti? Click to expand... Mbona paragraph ya pili kutoka mwisho inatambua utoaji wa ajira hizo ngazi ya cheti.
Mwanamayu JF-Expert Member Joined May 7, 2010 Posts 11,662 Reaction score 6,888 Oct 6, 2020 #42 Huku ni kudhalilishwa kweli, PhD holder kuitwa 'mpumbafu' na 'mpinga juhudi'.
crome20 JF-Expert Member Joined Feb 5, 2010 Posts 1,193 Reaction score 810 Oct 7, 2020 #43 VOICE OF MTWARA said: kwahiyo vyuo vya ualimu vya ngazi ya cheti vitafanya kazi gani? Click to expand... Mtaaala ndio unafutwa sio Chuo. Walimu hao hao watafundisha Diploma ya Elimu ya msingi. Ndivyo nimeelewa
VOICE OF MTWARA said: kwahiyo vyuo vya ualimu vya ngazi ya cheti vitafanya kazi gani? Click to expand... Mtaaala ndio unafutwa sio Chuo. Walimu hao hao watafundisha Diploma ya Elimu ya msingi. Ndivyo nimeelewa