Siku ya mwananchi ilioneshwa AZAM tv, Simba day itaoneshwa na Tv gani

MO TV Burudani kwa wote.
 
Unafikiri nani atakuwa amelipia kurushwa kwa hiyo mechi kati ya Simba au Azam Media?!
Azam anaihitaji Simba kuliko Simba anavyoihitaji Azam Media kwaajili ya biashara ya matangazo.
 
Unafikiri nani atakuwa amelipia kurushwa kwa hiyo mechi kati ya Simba au Azam Media?!
Azam anaihitaji Simba kuliko Simba anavyoihitaji Azam Media kwaajili ya biashara ya matangazo.
tuliambiwa simba iligomea kusaini mkataba na azam
hii ilikuaje
 
Litaoneshwa azam maana ni biashara,simba wakilipa itaoneshwa

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Kwani miaka mingine huwa ikaoneshwa na TV gani
 

azamtv ndio itaonyesha simba day. jambo la kufanya ni kulipia mapema vifurushi vya azamtv ili kuepuka usumbufu.

kuna uwezekano, siku ya simba day (tarehe 19), system inayosimamia malipo ya azamtv ikazidiwa kutokana na foleni kubwa ya wateja. ili kuepuka usumbufu huu,lipia mapema.
 
Unafikiri nani atakuwa amelipia kurushwa kwa hiyo mechi kati ya Simba au Azam Media?!
Azam anaihitaji Simba kuliko Simba anavyoihitaji Azam Media kwaajili ya biashara ya matangazo.
Jidanganye
 
mbona Azam kila siku wanarusha matangazo kwamba wataonyesha au we ulitaka ionyeshwe na nani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…