maji ya gundu
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 3,070
- 4,698
amkeni wakuu kumekucha, kwanza niwatoe hofu wakuu kuhusu siku ya mwisho mimi na shetani tunaweka mikakati ya kuaandaa zima moto za kutosha ili kumkomesha uyo mungu wenu na moto wake
tutakua na kila aina ya zima moto koo wakuu msijari moto wa aina yeyote tutaumudu
NB: ila mungu naye ana hasira mbaya sana unajua kwene moto hakuna kitu kinachopona ata chuma huyeyuka
ningependa kuwathibitishia kua msiwe na hofu tuna maji special yalolaaniwa kwa ajili ya kazi iyo ya kuzimia moto
tutakua na kila aina ya zima moto koo wakuu msijari moto wa aina yeyote tutaumudu
NB: ila mungu naye ana hasira mbaya sana unajua kwene moto hakuna kitu kinachopona ata chuma huyeyuka
ningependa kuwathibitishia kua msiwe na hofu tuna maji special yalolaaniwa kwa ajili ya kazi iyo ya kuzimia moto