Siku ya mwisho Mungu atakapowaunguza nitawaletea zimamoto

Siku ya mwisho Mungu atakapowaunguza nitawaletea zimamoto

kwani enyi watanzania wenzangu kunahaja ya kukoment kwenye thread kama hii???

Mi nafkiri zingine ukisoma unapita tu kama vile umekosea

Mi nmeuliza tu, sijatoa koment yoyte..!!
 
kwani enyi watanzania wenzangu kunahaja ya kukoment kwenye thread kama hii???

Mi nafkiri zingine ukisoma unapita tu kama vile umekosea

Mi nmeuliza tu, sijatoa koment yoyte..!!
Tanzania Pekee mtu anaeshauri wenzake wasi comment yeye ndo anacomment
 
Moto wa nini na nani kawasha? Nani alienda huko akauona huo moto? Je ni wa kuni, gas, kuni, mkaa au mafuta?
 
usinibane sana nipe mda nikupelelezee ili nirudi na majibu sahihi

andaa maswali ya kutosha
Ok hebu fuatilia kwa waliowahi kufika huko na kuushuhudia huo moto watujuze ili tujue namna ya kukabiliana nao tukifika
 
Back
Top Bottom