Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuhUsimchokoze chura kabla hujavuka mto
Dahkama ndio hivo basi wanaume wa mikoani na wanaume wa dar hamna tofauti maana itikadi zinaendana
Hapo sasa unakosea mkuu, wanaume wa Dar sio wambea. Huyo alietoka mkoani na kuchunguza maisha ya watu ndio mbea mwenyewe.ujinga, maisha ya watu yanakuhusu nini sasa kupangiana namna ya kuishi
fata yaliyokuleta kitendo cha wewe kutuletea huu umbea hapa directly tayari ushakuwa mwanaume wa dar vile vile
acha umama mkuu
Mpaka uje upate matibabu sawasawa na upone basi ujue utakaporudi kwenu mkoani wanaume wenzio watakuwa wanakuona uko tofauti!! Yaani na wewe utaonekana kama mwanaume wa DAR.Leo ni siku ya pili kuwa jijini Dar na nimekuja kwaajili ya kupata huduma ya matibabu kwenye hospitali ya muhimbili.
Tokea nifike huku dar hio jana nimeshangazwa na hii kitu ase nilikuwa kwenye moja ya daladala ndipo kundi la wanaume wakawa wanapiga stori kusikiliza vizuri kumbe wanahadithiana tamthilia ya sulutani daah bila aibu sijui hadija sultana ana bahati mara yule sijui nani mnoko nk nk
Kiukweli wanaume wa dar hamuonewi haki yenu kusemwa
Sijui nani kawaroga hawa wanaume wenzetu wa dar wanahitaji serious lecture kutoka kwetu wa mikoani maana ni aibu