pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Ninazo claim report number inne tofauti, kila nikiulizia napewa number ila kuja hawaji kushughulikia tatizo na ni dharura
Sasa sijui emergency kwa tanesco ni siku inne?
Kama kariakoo tu ni hivi huko vijijini ikoje?
Hawajawahi kuwa serious
Sasa sijui emergency kwa tanesco ni siku inne?
Kama kariakoo tu ni hivi huko vijijini ikoje?
Hawajawahi kuwa serious