Wakizungumza na waadishi wa habari wameitaka serikali ya kenya iwatambue ili wawe wanatoa kodi kwa serikali yao ya kenya,na wamelaani vikali vitendo vya serikali kuwashitaki kwa kuwaonea wakaenda mbali zaidi kudai serikali iheshimu haki zao kama binadamu!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.