Siku ya UKIMWI Duniani: Ushuhuda - Asante Hospitali ya Jeshi Lugalo

Mkuu ni hivi,wakitangazwa maana yake hata nyumba za kupanga watakuwa wanakosa.
Yaani hata wenye nyumba watakuwa wanawakatalia kupanga,huo ndio uelewa wa jamii yetu huwa wanadhani ukimsogelea tu mwathirika anakuambukiza
 
Kuna manzi moja nilikula nakumbuka ilikua ijumaa usiku aise jumamosi asubui nikakuta mb... Yangu inauma balaa nikajikaza kiume bwanae siku ya pili maumivu yalizidi nikienda haja ndogo damu inatoka na maumivu makali adi nilikua natoa machozi. Aise nikamkubuka yule manzi nikawaza hii ni UTI bila Shaka siku ya nne nikakuta usaa unatoka palepale nakaenda hospital nikapewa dawa nikatumia ndani ya siku mbili nikawa fiti.
NB;mm nilichowaza zaid nilihisi ameniachia na ukimwi hili ndo kilinipa stres acha
 
Pamoja na udogo wa hospitali, Lugalo imejipatia sifa sehemu nying kwa uadilifu na weledi kidaktari.
Pia wana clinical care nzuri sana ukilinganisha na hospitali za kawaida za serikali.
 
Kwa nini wenye virusi vya ukimwi hawataki kujitangaza juu ya halimzao??!!!
Kama wenye maambukizi wataamua kujiweka wazi basi itasaidia sana kupunguza maambukizi au waweke chapa kuwa huyu ni mwathirika ili jamii imtambue
Kuna muda unasoma utumbo kama huu unajiuliza hivi duniani kuna wapumbavu wa kiwango hiki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…