Siku ya walimu duniani 05/10

Siku ya walimu duniani 05/10

KiuyaJibu

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2007
Posts
848
Reaction score
191
Leo ni siku ya Walimu duniani;ninaomba niseme kama ifuatavyo:katika kila wanafunzi 10 wa darasa la tatu(3) hawawezi yafuatayo:-
07 katika yao hawawezi kusoma hadithi ya Kiswahili ya darasa la pili(2);
07 kati yao hawawezi kufanya Hisabati za kitabu cha darasa la pili(2);
09 kati yao hawawezi kusoma hadithi ya Kiingereza ya darasa la pili(2).
Utafiti huu umefanya katika wilaya 132 nchini Tanzania;na kuhusisha watoto wenye umri wa miaka 07 hadi 16.
Na wakati huohuo serikali kwa mara nyingine tena imerudisha mtihani wa Taifa wa kidato cha pili.
 
Kauli mbiu inasema "teacher's for gender equality"
 
wanafunzi mia 2 mwalimu kipindi dk 40 unataka wanafunzi wote wajue kusoma na kuandika! La kwa miujiza
 
Back
Top Bottom