Siku ya Wanawake Duniani jinsi ilivyokuwa ya kushangaza

Siku ya Wanawake Duniani jinsi ilivyokuwa ya kushangaza

Me too

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2015
Posts
7,388
Reaction score
9,333
Jana ilikuwa ni siku ya wanawake duniani.

Nafikiri tumeona mengi sana pia mnakaribishwa kuandika mliyo yashuhudia hiko kwenu.

Upande wangu nilichoshuhudia na kunishangaza,, post nyingi mitandaoni HAPPY WOMAN DAY ililengwa kwa kumuwish mama Mzazi, bibi, shangazi, Dada, workmate wa kike, na hata maschoolmate wa kike huku ikiambatana na vicopa Vingi. Post hizi wanaoongoza ni wanaume kwa kuwapost na kuwawish watu hao.

Nachoshangaa kwanini wanaume hao hawajawapost wake zao na kuwapamba hivyo?

Nilizani mkeo ndio atakuwa front page kwa kumpost ukizingatia ndie woman day wako bila huyo usingeitwa baba, asingeongeza ukoo wenu kwa kukuzalia watoto, pia nafikiri mnajua mke katika familia na majukumu anayofanya. Sasa kama family yako ipo imara hadi siku ya woman day kwanini usimpongeze?

Unaishia kuwapongeza watu ambao hawajui hata suruali yako ya kazini imenyooshwa saa ngapi,.

Karibuni mdondoshe yenu mliyo yaona siku ya woman day Jana.
 
Nadhani hukupostiwa wewe na wanaokuzunguka, kwa nilioona waliwapost wake, Wachumba, dada, mama,binti, shangazi nk,

Mi sikupost chochote wala hakuna aliyenipost kiujumla sikujishughulisha na hiyo siku kabisa maisha yako vile vile,
 
Mimi nilimpost mama yangu peke yake. Girlfriend wangu alimpost mama yake kisha akanipiga marufuku nisimpost eti sisi tuna siku zetu za boyfriend's day, girlfriend's day, birthday zetu na couple day. Ya jana tuwaachie mama nami nikaona ni sawa.

Kuna jamaa yangu mmoja anasisitiza kila sehemu "wadada wakiwa na shida wanatutafuta sisi Kinjenkitile ila kila siku huwa wanawapost mabishoo, nitakuwa nawaambia waombe ukouko"[emoji23]

Vilevile kuna masela wanapost pisi kali tu, hutokaa umuone amempost Maimuna au Mwamvua. Cha ajabu hata girls wanatupa value kwa kulinganisha unajihusisha na class gani ya girls. Ukiwa unakaa na wenye sura personal unapata ugumu kuopoa pisi kali, ukiwa unakaa na pisi kali wengine wanajishusha flani.

Hata uzi huu watakuja watu wapuuzie status kama mimi zamani, ila ilinifundisha kusoma personality ya mtu. Kuna madada hapa ni wa Kaskazini, wao hawampost kaka, cuzo, shemeji, etc asiye na gari. Yani utadhani ukoo wao wote wana magari ila si kweli.
Hii comment ni kwa age ya A level~ University.


Juu ya level hiyo sijui ila nashauri unatakiwa uvae upendeze upige hata picha nzuri za kumbukumbu. Haiwezekani wazungu miaka ya 1930 kuna picha za familia ila wewe unavaa mabwanga tu wala picha huna.

Kwa wale wazee muwe mnawapiga picha, mimi bibi yangu nina picha zake kadhaa na family members tukikutana nawapiga picha. Kuna matukio kama misiba unakuta mzee wanae wana pesa na mali nyingi, jeneza kali, mazishi ya viwango ila hawana picha yake. Wengine wanampiga picha yuko hoi amelazwa ashakonda kwenye msiba wakibebelea picha unadhani alikuwa maskini wa Sahara desert. Pigeni picha aisee tuko 4th industrial revolution ni digital world.
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Hadi B Levo Ba Mtaalamu Fundi Majumba kasheherekea ijapokuwa alimtukana Hamisa[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Jana sikumpost mtu yeyote wa kike, Mi nawapenda kila siku na nawajulia hali kila uchwao... Hii ya unafiki wa kuonesha unamjali siku moja tu siku nyingine humjali hapana aisee,,,& BTW kutompost haimaanishi sina upendo nae, upendo wa kweli upo kwenye matendo na sio kumpost huko kwenye status PERIOD.
 
Nilianza na wife, akaja mama mzazi, then my supervisor nikamalizia na picha ya pamoja ya wanawake wote oficn[emoji41]
 
Jana ilikuwa ni siku ya wanawake duniani.

Nafikiri tumeona mengi sana pia mnakaribishwa kuandika mliyo yashuhudia hiko kwenu.

Upande wangu nilichoshuhudia na kunishangaza,, post nyingi mitandaoni HAPPY WOMAN DAY ililengwa kwa kumuwish mama Mzazi, bibi, shangazi, Dada, workmate wa kike, na hata maschoolmate wa kike huku ikiambatana na vicopa Vingi. Post hizi wanaoongoza ni wanaume kwa kuwapost na kuwawish watu hao.

Nachoshangaa kwanini wanaume hao hawajawapost wake zao na kuwapamba hivyo?

Nilizani mkeo ndio atakuwa front page kwa kumpost ukizingatia ndie woman day wako bila huyo usingeitwa baba, asingeongeza ukoo wenu kwa kukuzalia watoto, pia nafikiri mnajua mke katika familia na majukumu anayofanya. Sasa kama family yako ipo imara hadi siku ya woman day kwanini usimpongeze?

Unaishia kuwapongeza watu ambao hawajui hata suruali yako ya kazini imenyooshwa saa ngapi,.

Karibuni mdondoshe yenu mliyo yaona siku ya woman day Jana.
inaonyesha hujaoa! Au umeolewa lkn uko kwa full swing!!
 
Jana ilikuwa ni siku ya wanawake duniani.

Nafikiri tumeona mengi sana pia mnakaribishwa kuandika mliyo yashuhudia hiko kwenu.

Upande wangu nilichoshuhudia na kunishangaza,, post nyingi mitandaoni HAPPY WOMAN DAY ililengwa kwa kumuwish mama Mzazi, bibi, shangazi, Dada, workmate wa kike, na hata maschoolmate wa kike huku ikiambatana na vicopa Vingi. Post hizi wanaoongoza ni wanaume kwa kuwapost na kuwawish watu hao.

Nachoshangaa kwanini wanaume hao hawajawapost wake zao na kuwapamba hivyo?

Nilizani mkeo ndio atakuwa front page kwa kumpost ukizingatia ndie woman day wako bila huyo usingeitwa baba, asingeongeza ukoo wenu kwa kukuzalia watoto, pia nafikiri mnajua mke katika familia na majukumu anayofanya. Sasa kama family yako ipo imara hadi siku ya woman day kwanini usimpongeze?

Unaishia kuwapongeza watu ambao hawajui hata suruali yako ya kazini imenyooshwa saa ngapi,.

Karibuni mdondoshe yenu mliyo yaona siku ya woman day Jana.
Funguka na wewe utakuwa hivo hivo mpaka lini???

Hapo ndiyo ujue wengi humu Jf ni watoto wadogo madenti wa primary na secondary.
Humu wewe tu ndo mzee!!! Hata vijana wa makamu tu hamna.wachache sana km mayalla na zito huyu mayala amejitoa humu rasmi ajili ya umri umemtupa kwanza siku hizi macho haoni ajili ya uzee.
Asa mtoto amuwish dem alimtoa wapi??
 
Back
Top Bottom