Mwambie husna akusimulie [emoji23][emoji23][emoji23]za kwenda wapi tena
Unanipenda lakini?njoo nitunze nipo tayari
safi shemela za wwShemela mambo
husna ukuje umsikilize baby wako anachoongea [emoji23]Mwambie husna akusimulie [emoji23][emoji23][emoji23]
Asante sana kwa mama Ray kwa malezi mema Mungu ambariki,ampe maisha marefu na mafanikio ,bila yeye wewe usingekuwepo,asante sana Mondray kwa upendo na kujitoa Mungu akubariki sana ufanikiwe .Heshima kubwa zimuendee mwanamke nimpendae zaid hapa duniani Mama Ray.. My mother kwa kunifanya niwe hapa nilipo sasa kwa kunilea na kunitunza. Nitakupenda na kukutunza mama yangu uishi maisha marefu.
Nawatakia heei mabinti hawa wafuatao...
Candyscorpion
Joanah
Numbisa
Shunie
Paprika BlessedHope
Unaitana utaliweza timbwili lake maana akija wewe ndo unadakwahusna ukuje umsikilize baby wako anachoongea [emoji23]
hahaha hawezi na sisi ndio tulimrahisishia njia ya kukupata ww [emoji23]Unaitana utaliweza timbwili lake maana akija wewe ndo unadakwa
hahahaha wala mi naitwa mulhat mpungaNi mtu mmoja?
UbarikiweSalute kwa wanawake wote wanaojielewa. God bless you.
Haha..hahaha hawezi na sisi ndio tulimrahisishia njia ya kukupata ww [emoji23]
Happy Birthday Mungu akubariki uishi maisha marefuYea tunawathamini pia
Itz my birthday 08/03/........
Thankx god kwa kuzaliwa mimi hii siku
mi mwenyewe kaka yangu anaitwa hivyoTatizo ni hili jina lako......halina gender..... Sikujua kama wewe ni KE.
Asante ubarikiwe sana.Mkuu DabyHeri ya siku ya wanawake handy women wote ukianza na maza (rip)
Raymie Kenya
ganja gal
jje's shemeji yangu
espy
Shunie
LadyAJ
Sakayo
faiza Foxy
La mujar
Lyn Vivac
mahondaw
husna muba
Valentina
Patience123
Senee
Honey Faith
geniveros
joanah
Sky Eclat
Miss Natafuta
miss_blossom
Kasinde
Mulhat Mpunga
CHIKIRA MTABARI huyu juka nimempokea form one.
Paprika
King'asti
agnes s obedi
Nawapenda kiasi cha kuwasahu hadi majina ambao sijawataja.
AmeeeeenAsante sana kwa mama Ray kwa malezi mema Mungu ambariki,ampe maisha marefu na mafanikio ,bila yeye wewe usingekuwepo,asante sana Mondray kwa upendo na kujitoa Mungu akubariki sana ufanikiwe .
Amina B..much lovAsante ubarikiwe sana.Mkuu Daby
Mama apumzike kwa Amani
Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu ya furaha na mafanikio.
Heri ya siku ya wanawake handy women wote ukianza na maza (rip)
Raymie Kenya
ganja gal
jje's shemeji yangu
espy
Shunie
LadyAJ
Sakayo
faiza Foxy
La mujar
Lyn Vivac
mahondaw
husna muba
Valentina
Patience123
Senee
Honey Faith
geniveros
joanah
Sky Eclat
Miss Natafuta
miss_blossom
Kasinde
Mulhat Mpunga
CHIKIRA MTABARI huyu juka nimempokea form one.
Paprika
King'asti
agnes s obedi
Nawapenda kiasi cha kuwasahu hadi majina ambao sijawataja.
God Bless you dearThanks dear!
More shout out to all ladies who make it happen in here. [emoji122] [emoji122] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji106] [emoji106]
Sijalipotezea bibie... siunaona appreciation kama hizi zinakujia kwa udhamini wa moyo wangu! Tuliambiana tusomane kwa haka kamwezi ujuesante kipenzi japo lile ombi langu umelipotezea
hahahaha hapa mwanya wote njeSijalipotezea bibie... siunaona appreciation kama hizi zinakujia kwa udhamini wa moyo wangu! Tuliambiana tusomane kwa haka kamwezi ujue