Siku ya wanawake duniani, pitia hapa tunawa-appreciate wanawake wa JF

Siku ya wanawake duniani, pitia hapa tunawa-appreciate wanawake wa JF

haya nitaje sasa kunitakia siku yangu kama mwanamke wa kike, hahahahahahaahahaha
Kama ningejua wewe in K basi sasa hivi ungekuwa unatajwa kwenye cheti cha ndoa na siyo hapa CC.....[HASHTAG]#narenewmpangowangu[/HASHTAG].
 
Kama ningejua wewe in K basi sasa hivi ungekuwa unatajwa kwenye cheti cha ndoa na siyo hapa CC.....[HASHTAG]#narenewmpangowangu[/HASHTAG].
hahahahahahahahahahahahaha kwikwikwikwikwikwi tehe tehe tehe kwidikwidikwidi heheheheheehehehheh
 
Tunakupenda pia Single father wetu, Na wewe ndio Balkia wa nguvu...
 
Salute kwa wanawake wote duniani hasa kwa Mama Ema, lovely mother

Hapa JF wapo wanawake watatu nawaona sana kwenye hard news, wapo critical sana

I real like them
 
862590942b8bb4b5359ac323159d8ab8.jpg
[emoji29] so sad adi nimelia[emoji25]
Mungu Awabariki na Awalinde kwa kujitoa
 
Rubii pokea salamu zangu na heri ya siku ya wanawake duniani.Kila nionapo thread yako ama comment iliyotoka kwako daaaaaaah basi itoshe tu kusema upate maisha yenye fanaka kenyekenye.
 
Back
Top Bottom