Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
SIKU YA WANAWAKE DUNIANI/SIKU YA WANAWAKE TANZANIA
Picha hiyo hapo chini nniliipata kwa Jim Bailey aliyekuwa akimilika gazeti la DRUM.
Picha hii haikuwapo kabla ya mimi kuipata na kuiweka mtandaoni.
Bailey alikuwa na mswada wa kitabu cha picha Mwalimu Nyerere na akanipatia kwa ajili ya uhariri na kumtafutia ''publisher.''
Kulia ni Bi. Chiku bint Said Kisusa, Bi. Titi Mohamed na kushoto wa mwanzo ni Bi. Tatu bint Mzee katikati na Julius Kambarage Nyerere akisindikizwa safari ya kwanza UNO Februari 1955.
Picha hiyo hapo chini nniliipata kwa Jim Bailey aliyekuwa akimilika gazeti la DRUM.
Picha hii haikuwapo kabla ya mimi kuipata na kuiweka mtandaoni.
Bailey alikuwa na mswada wa kitabu cha picha Mwalimu Nyerere na akanipatia kwa ajili ya uhariri na kumtafutia ''publisher.''
Kulia ni Bi. Chiku bint Said Kisusa, Bi. Titi Mohamed na kushoto wa mwanzo ni Bi. Tatu bint Mzee katikati na Julius Kambarage Nyerere akisindikizwa safari ya kwanza UNO Februari 1955.