Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Na hiyo ni kwa wagombea wote wa ccm kuanzia mwenyekiti wake, hadi kwa wake na waume. Harsh truth.Bila kubebwa wengi wao hawatafika popote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hiyo ni kwa wagombea wote wa ccm kuanzia mwenyekiti wake, hadi kwa wake na waume. Harsh truth.Bila kubebwa wengi wao hawatafika popote
Kwa vile mwaka huu, Watanzania wanakwenda kumchagua rais mwanamke, wanawake wakijitokeza kwa wingi kugombea, tutawachagua na tukiisha fikisha idadi ya 50/50, then kunakuwa hakuna haja ya viti maalum, tunavifuta, na kushindana kwa usawa.Viti maalumu ndio njia pekee waliyobakiza , kupambana majukwaani ni wachache sana wanaweza hiyo.
Viti maakumu vikifutwa itawalazim wapambane
Its good to do that, mfumo dume sio huku tuu, hata Marekani, wamemtosa yule mama muungwana, mstaarabu, mtulivu, wakamchagua yule kichaa machachari, hivyo Kilichotokea Uchaguzi wa Marekani, kinaweza kutokea Uchaguzi 2025?. Tuyatumie matokeo yao kama shamba darasa la 2025 au wao ni wao, na sisi ni sisii?Hi siku nai dedicate kwa Raisi wangu mpendwa Samia Hassan suluhu, ameweza kutawala nchi ya watu 65m ilio jaa mfume dume kwa utulivu hongera mama kwa kudhubutu
Duh...!, I just dont believe this!.Andiko refu ila jua kuna wanaume wanavitamani hivyo viti maalumu wanatamani wangekuwa wanawake
USSR
Ndicho ninachosisitiza hapa, kwanza twende kwenye 50/50, ikiishapatikana, ndipo tuvifute viti maalum.50/50 hakuna kubebwa...wakagombee majimboni na wao.
Nyingi ya threads zangu ni makala za magazetini, nina 1/2 page Nipashe ya Jumapili na Mwananchi ya Jumatano, kazi ya mwandishi ni kuandika tuu, summarization na paraphrasing ni kazi ya chief sub editor, ila mimi by nature ni story teller, na ni mwana fasihi, hivyo baadhi ya threads zangu haswa za mambo magumu, napiga mastory marefu to drive home my point kwa kudunga sindano za taratibu, ukifanya short and clear, ukidunga sindano, utasababisha maumivu!. Ila pia nina mabandiko kibao tuu mafupi.Mkuu Pascal Mayalla , hivi Form two hukusoma topic ya summarization/ paraphrasing?
VIFUTWE maana ni udhalilishaji mtupu !Vifutwe tu havina maana