Siku ya Wanawake imenisaidia kuopoa vyuma

Siku ya Wanawake imenisaidia kuopoa vyuma

Russia is not your enemy

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2023
Posts
373
Reaction score
625
Acheni kabisa..

Mwanamke apendeze ndiyo utaona urembo ni mzuri kias gani..siku ya Wanawake nimepata pisi za maana tatu.

Kwa kuwa ilikuwa siku yao ya kujiachia nilitumia fursa hiyo. Mnamo saa sita mmoja nilimuona nikamuomba tukapate lunch. Tukazama zetu...mlo saaadi 25,000 ikanitoka tukazama Getto nikala chakula.

Saa Kumi jioni pitapita nikaipata nyingine tukapata kinywani majira ya kumi na Mbili nikachukua mamaaae nikaizamisha Getto nikala Tena mlo wa jioni... Tukaachana.

Kunako saa tatu Moja nikaikuta bar ikiwa yenyewe ikila gamble nikaiongezea gambe ikalewa. Nikalala nayo getto ndio naamka hapa. Nimechoka.. yenyewe ilikoga mapema ikawahi job.

Nikapate supu nielekee golini Sasa.

Siku Yao hoyeeee
 
Back
Top Bottom