johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Acha ushamba wa migombani.Kwani hilo kaburi ni chafu??
Amen!Wabarikiwe........
Endelea kutoelewa!wanaenda kufagia sehemu gani pale au Mimi ndio sijaelewa
Wengi wao ni wanachama wa Chadema mkuu.Ccm kwa mambo ya ajabuajabu wako vizuri.
Kwaresma njema na kwako pia mkuu. Nimemsikia Dr Gwajima (MP) leo hii kupitia E Fm redio akisema leo ni 'sikukuu ya wanawake'.Nichukue fursa hii kuwatakia Wanawake wote sikukuu yenye baraka.
Pili, niwapongeze akina mama Wajasiriamali waliofunga safari kutoka Dar es salaam wakielekea Chato kusafisha kaburi la hayati Magufuli wakikumbuka jinsi alivyowapambania.
Mungu wa mbinguni awabariki Wanawake wote.
Kwaresma njema!
Huko Aliko mwambie ile kesi ya ugaidi aliyoanzisha imefutwa na DPP bila masharti.Timu gaidi wanasemaje?
AMINANichukue fursa hii kuwatakia Wanawake wote sikukuu yenye baraka.
Pili, niwapongeze akina mama Wajasiriamali waliofunga safari kutoka Dar es salaam wakielekea Chato kusafisha kaburi la hayati Magufuli wakikumbuka jinsi alivyowapambania.
Mungu wa mbinguni awabariki Wanawake wote.
Kwaresma njema!