Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Sahihi kabisa.Anakufa mtu tu, matendo na jina hubaki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahihi kabisa.Anakufa mtu tu, matendo na jina hubaki.
[emoji23][emoji23]Acha wafu wazike wafu wenzaoNichukue fursa hii kuwatakia Wanawake wote sikukuu yenye baraka.
Pili, niwapongeze akina mama Wajasiriamali waliofunga safari kutoka Dar es salaam wakielekea Chato kusafisha kaburi la hayati Magufuli wakikumbuka jinsi alivyowapambania.
Mungu wa mbinguni awabariki Wanawake wote.
Kwaresma njema!
muda ni rasilimali muhimu na isiyoweza rejea(recycle).Endelea kutoelewa!
Duu kaburi gani wanaenda kusafisha sasa ? Lili lenye tiles na milango ya vioo? Waambie wakasalimie watoto yatima wawapelekee na vitu au wakasafishe hospitali yeyote kumuenzi. waache uchuro.Nichukue fursa hii kuwatakia Wanawake wote sikukuu yenye baraka.
Pili, niwapongeze akina mama Wajasiriamali waliofunga safari kutoka Dar es salaam wakielekea Chato kusafisha kaburi la hayati Magufuli wakikumbuka jinsi alivyowapambania.
Mungu wa mbinguni awabariki Wanawake wote.
Kwaresma njema!
nchi hii ina watu wa ovyo sana, mabichwa makubwa ndani hakuna kitukusafisha kaburi la hayati Magufuli
Kuuliza siyo ushamba. Jibu swali. Hilo kaburi ni chafu?Acha ushamba wa migombani.
Kule mjini wanasema " kufagilia"
Hakuna uhusiano mkuu, ni maigizo tu na kujikombakomba tu, ajabu utakuta makaburi ya baba zao au mama zao hawajawahi kuhudhuria kufanya usafi.muda ni rasilimali muhimu na isiyoweza rejea(recycle).
Sasa ambacho siwezi kukielewa ni kwenda kufanya maigizo makaburini kwenye siku yenye malengo muhimu kwa mwanamke ni kupoteza muda by the way kuna uhusiano gani Kati kaburi na maendeleo ya wanawake
Mngejua ukweli wa hii kesi msingeropoka hovyo.Huko Aliko mwambie ile kesi ya ugaidi aliyoanzisha imefutwa na DPP bila masharti.
Unaelewa maana ya kusafisha kaburi?Duu kaburi gani wanaenda kusafisha sasa ? Lili lenye tiles na milango ya vioo? Waambie wakasalimie watoto yatima wawapelekee na vitu au wakasafishe hospitali yeyote kumuenzi. waache uchuro.
Punguza wivu!Hakuna uhusiano mkuu, ni maigizo tu na kujikombakomba tu, ajabu utakuta makaburi ya baba zao au mama zao hawajawahi kuhudhuria kufanya usafi.
Hakuna kaburi chafu duniani.Kuuliza siyo ushamba. Jibu swali. Hilo kaburi ni chafu?