Siku ya Wazee: Wazee wana mchango gani kwa taifa?

Siku ya Wazee: Wazee wana mchango gani kwa taifa?

isajorsergio

Platinum Member
Joined
Apr 22, 2018
Posts
4,143
Reaction score
6,560
Habari đź‘‹

Ikiwa ni siku ya wazee na siku muhimu ya kutambua mchango wao katika mataifa mbalimbali, ningependa kufahamu mchango wa wazee katika Taifa–Tanzania.

Maana ni rahisi kufahamu na kutambua mchango wa wazee kwa mataifa kama Malaysia, Indonesia, Qatar, Pakistan, India na mengineyo

Miaka 60 ya uhuru miaka 50 ya uzee wazee ni upi mchango wao katika taifa lenye umaskini uliokithiri, ubaguzi, uzazi holela, maradhi, ujinga na jamii uliyojengwa katika misingi ya unafiki na upumbavu?

Karibu Tujadili.
 
Pension zenyewe mtihani.

Bima ya afya haieleweki.

Mchango gani zaidi ya kungojea death.

Government forgotten us.
 
Pension zenyewe mtihani.

Bima ya afya haieleweki.

Mchango gani zaidi ya kungojea death.

Government forgotten us.
Wazee wa Tanzania licha ya kuifikisha Nchi hii hapa kutoka kwa Mkoloni Watawala wa sasa Hawawathamini kabisa Wazee hawa PENSHENI zao ni Vichekesho utadhani hawakuitendea Makubwa nchi hii Kina Makonda wanawapiga Makofi ili Mradi DHARAU
JamiiForums-1849896620.jpg
 
Back
Top Bottom