hahaaaaakuhamia kwangu ilikuwa 'feelings" ya ajabu kabisa,ilikaribia kbs ya wakati napata mtoto wangu wa kwanza. Kwa gari,kiasi tu..full tank mda wote,mshale ukishuka hata kidogo najazia,mda wote safiii na AC full time..Pia nilikuwa nikuta mawe makubwa mbele,nashuka kuyatoa gari isiumie 😀
Sikuona kitu cha ajabu zaidi ya kwamba nimefikia moja ya malengo katika maisha yangu na kwamba naanza safari kukimbizana na mengineKumiliki kitu Kama nyumba, gari,baiskeli, pikipiki sio kitu Cha mchezo,
Tuambie siku yako ya Kwanza kumiliki .......... ulikuwa na mzuka gani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna jamaa yangu kaajiriwa kufunga mabomba ya kumwagilia miwa kwenye kiwanda cha Kilombero Sugar Company.Sasa huyu jamaa baada ya kupata kamshahara chake akanunua kiTV cha inchi 10 cha chogo na kideki cha singsung.
Aisee ni mwendo wa rege tu utadhan tupo Jamaica.
Yaani kukaa sebuleni kwake ishu kila mara anaigusa deki akiona imekuwa ya moto anasema jamani tv ipumzike.Kisha anachukua deki na kiTV chake anarudisha kwenye box huyooo anaenda kuiweka chumbani kwake ikipoa tu anairudisha sebuleni.
Fuel tank ilikuwa full
Jr[emoji769]